• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kilimanjaro Region
Kilimanjaro Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kilimanjaro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia ya Mkoa
    • Viongozi wa Mkoa
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Sekretariati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Teknologia ya Habari na Mawasiliano
      • Internal Audit
      • Kitengo cha Sheria
      • Procument and Supply
    • Miongozo
  • Wilaya
    • Hai
    • Moshi
    • Mwanga
    • Same
    • Rombo
    • Siha
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hai
    • Halmashauri ya Wilaya ya Moshi
    • Halmashauri ya Manispaa ya Moshi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Same
    • Halmashauri ya Wilaya ya Siha
    • Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Albam
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

Serikali Yarudisha Mali za Ushirika

Posted on: November 12th, 2020

Serikali mkoani Kilimanjaro imefanikiwa kurejesha mali zenye thamani zaidiya shlingi bilioni mbili ziizokuwa zimeuzwa na chamakikuu cha ushirikamkoani Kilimanjaro kinyume na sheria na taratibu za ushirika.

Akizungumza na waandishishi wa habari,Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Dkt.Anna E. Mghwira amesema mali zilizorejeshwa ni pamoja na viwanja vitano vilivyopo maeneo ya Msaranga ambavyo kwa sasa ni makazi ya watu, maghala matano yaliyopo maeneo ya viwandani, jengo moja kubwapamoja na eneo lenye mchanganyiko wa majengo ambalozamani lilikuwa hoteli ya ushirika.

Aidha amefafanua kuwa watu walionunua mali hizo ambao miongoni mwao wamo  wafanya biashara na wananchi wengine wanaofanya shughuli mbalimbali wametakiwa kuzirejesha mali hizo au kutoa fedha zenye thamani ya mali endapo kwa sasa haimiliki mali hiyo.

Mbali hayo, Mhe. Dkt. Mghira ametumia fursa hiyo kutoa  taarifa ya kikao kitakachofanyika siku ya Ijumaa ya taerehe 13, Septemba 2020 kitahusisha  viongozi wa tasisi za umma, wafanya biashara na wananchi walio nunua mali za ushirika kinyume na sheria kwalengo la kuwasidia kujua sheria na taratibu zinazohusika ili kuepuka kutoingia kwenye mazingira tatanishi wanapotaka kununua mali zinazomilikiwa na ushirika.

Kuhusu taratibu za kisheria Mhe. Dkt. Mghwirs amesma watu wote waliohusika kuuza mali hizo watachukuliwa hatua za sheria ikiwa ni pamja na kufikishwa mahakamani.





Matangazo

  • Kwa Huduma Bora ya Ukumbi wa kisasa wa Mikutano, Tafadhali fika Ofisini au wasiliana nasi kwa S.L. P 3070, Moshi. au Piga simu namba 027 2758248/027 2751 February 03, 2020
  • Angalia Zote

Habari

  • Waziri Aweso Avunja Mkataba na Mkandarasi wa Mradi Mkubwa wa Maji

    December 25, 2020
  • Serikali Yarudisha Mali za Ushirika

    November 12, 2020
  • Rais Magufuli: Viwanda Suluhisho la Ajira

    October 22, 2020
  • Rais Magufuli Asikitishwa Mradi wa Maji Kuchelewa

    October 20, 2020
  • Angalia Zote

Video

Tamasha la Upimaji VVU Mkoa wa Kilimanjaro
Video

Kiunganishi cha Haraka

  • Webmail
  • Malalamiko
  • Fomu ya Opras

Tovuti zinazohusiana nasi

  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi (LIVE)
  • Manispaa ya Moshi
  • Mfumo wa Usambazaji Mafaili kwa njia ya Ki-Eletroniki (E-Office)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Florida Street

    Anuani ya Posta: P. O. Box 3070, Moshi

    Simu: 027 2758248/027 2751

    Mobile:

    Anuani pepe: ras@kilimanjaro.go.tz/ras.kilimanjaro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakiimiliki©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro.Haki zote zimehifadhiwa