• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kilimanjaro Region
Kilimanjaro Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kilimanjaro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia ya Mkoa
    • Viongozi wa Mkoa
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Sekretariati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
      • Trade and Investment
      • Administration and Human Resource Department
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Teknologia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ukaguzi wa Ndani
    • Miongozo
  • Wilaya
    • Hai
    • Moshi
    • Mwanga
    • Same
    • Rombo
    • Siha
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hai
    • Halmashauri ya Wilaya ya Moshi
    • Halmashauri ya Manispaa ya Moshi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Same
    • Halmashauri ya Wilaya ya Siha
    • Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Albam
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

HAFLA YA UZINDUZI WA KLINIKI YA KIUTUMISHI KWA WALIMU WA KILIMANJARO

Posted on: March 11th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe.Nurdin Babu amewataka wakurugenzi wa Halmashauri kwenye Mkoa wa Kilimanjaro 

Kujenga mazingira rafiki ya kiutendaji kwa Walimu ili kuakikisha haki za walimu hao zinatekelezwa.


Akitoa kauli hiyo wakati akizindua  kliniki ya kusikiliza na kutatua kero za kiutumishi kwa Walimu iliyofanyika kwenye ukumbi wa Shule ya Sekondari WeruWeru leo Machi 11, 2025 Mhe.Babu amesisitiza umuhimu wa Walimu  katika Jamii na Taifa kwa ujumla katika kuhakikisha ukuaji wa sekta ya Elimu Nchini na hivyo wanapaswa kuheshimiwa na kupatiwa Haki zao za Msingi.

    

"Asitokee Kiongozi yeyote ndani ya Mkoa,kuwafokea Walimu,kuwazalilisha   kuwakakalipia mbele za watu au kuwabeza kwa namna yeyote ile kwani mwalimu ni mtu Mhimu sana katika Jamii"alisema Rc.Babu


Aidha, amewasihi Walimu kupitia umoja wao  kuendelea kutekeleza wajibu  huku akisema serikali itaendelea kutatua changamoto za kiutumishi kwani  inatambua mchango mkubwa wa Walimu katika jamii na Taifa kwa Ujumla. 


Awali akizungumza Makamu  Rais wa Chama cha Walimu Nchini Suleiman Ikomba ameipongeza serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Dkt.Samia kuwa kuendelea kutoa kipaumbele kwa walimu katika kuwapatia mafunzo mbalimbali  ya kiutumishi uku akieleza kuwa kuwepo kwa kliniki hii itasaidia  kutatua changamoto za Kiutumishi kwa Walimu wa Mkoa wa Kilimanjaro.


Uzinduzi wa kliniki hiyo ulienda samabamba na ugawaji wa vifaa mbalimbali kwa Waalimu walemavu,pamoja na Uzinduzi wa Gari la Chama Cha Waalimu Wilaya ya Moshi CWT hafla iliyoongozwa na Mkuu wa Mkoa Nurdin Babu.

Matangazo

  • Kwa Huduma Bora ya Ukumbi wa kisasa wa Mikutano, Tafadhali fika Ofisini au wasiliana nasi kwa S.L. P 3070, Moshi. au Piga simu namba 027 2758248/027 2751 February 03, 2020
  • MRADI WA BOOST April 01, 2023
  • Angalia Zote

Habari

  • SERIKALI KUTENGA BILIONI 7 KUTEKELEZA UJENZI WA BARABARA YA MABOGINI - KAHE

    May 04, 2025
  • RC KILIMANJARO ATAKA WATUMISHI WA UMMA KUTII SHERIA NA KANUNI ZA KAZI ILI KUONGEZA KAZINI

    May 01, 2025
  • Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro, Bw. Kiseo Nzowa, akihutubia wananchi na viongozi mbalimbali katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani.

    May 01, 2025
  • MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO ATOA SIKU 14

    April 26, 2025
  • Angalia Zote

Video

Kujisajili kwenye mfumo wa NeST - Hatua ya Awali
Video

Kiunganishi cha Haraka

  • Webmail
  • Malalamiko
  • Watumishi Portal

Tovuti zinazohusiana nasi

  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi (LIVE)
  • Mfumo wa Usambazaji Mafaili kwa njia ya Ki-Eletroniki (E-Office)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na Kufuatilia malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    17 Barabara ya Florida

    Anuani ya Posta: P. O. Box 3070, Moshi

    Simu: +255 (027) 2754236/7

    Mobile:

    Anuani pepe: ras@kilimanjaro.go.tz / ras.kilimanjaro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakiimiliki©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro.Haki zote zimehifadhiwa