• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kilimanjaro Region
Kilimanjaro Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kilimanjaro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia ya Mkoa
    • Viongozi wa Mkoa
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Sekretariati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
      • Trade and Investment
      • Administration and Human Resource Department
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Teknologia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ukaguzi wa Ndani
    • Miongozo
  • Wilaya
    • Hai
    • Moshi
    • Mwanga
    • Same
    • Rombo
    • Siha
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hai
    • Halmashauri ya Wilaya ya Moshi
    • Halmashauri ya Manispaa ya Moshi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Same
    • Halmashauri ya Wilaya ya Siha
    • Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Albam
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

MHE BABU AKIUKABIDHI MWENGE WA UHURU 2025 MKOANI ARUSHA

Posted on: July 5th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Nurdin Babu   amesema mwenge wa uhuru umekimbizwa kilomita 895, umekagua miradi  52 yenye thamani ya Bilion 84. Ameyasema hayo Julai 5,2025 wakati  akiukabidhi Mwenge wa Uhuru 2025 katika  kijiji cha Kingori kata Malula  wilaya  ya Arumeru mkoani Arusha.  Amesema katika mkoa huu, miradi 22 ilizinduliwa, 20 iliwekwa  mawe ya msingi  na miradi 10 ilitembelewa na Mwenge wa Uhuru na yote imeridhiwa.

Amesema Mwenge huo, ulipita kwenye miradi ya kijamii 9 ikiwa ni hatua ya kuonyesha ushirikiano wa wawekezaji binafsi  na serikali ya mkoa. Aidha  amesema katika  kubiliana na mabadiliko ya tabia nchi,  mkoa wa Kilimanjaro umetoa  mitungi 370  yenye thamani milioni zaidi 18.4 kwa wananchi  wa maeneo  mbalimbali.

Amesema   katika kipindi cha siku saba watu  waliopima  VVU ni  1,801 walikutwa 12 sawa na asilimia 0.67, Damu salama ilipatikana  unit 177, waliopima  malaria   812 na hakuna aliyepatikana na ugonjwa huo.

Amesema mkoa  umekuwa  ukitoa elimu kwa wananchi juu ya madhara  ya rushwa, na kesi zilizoripotiwa 401, zilizokutwa na viashiria vya rushwa ni 201, zilizotolewa hukumu 20.


Amesema mkoa huo haukubaki nyuma kwenye suala la  madawa ya kulevya na jeshi la polisi liliwakamata  watuhumiwa  555 waliokamatwa 232 kesi zinazoendelea mahakamani 126 na kesi zilizohukumu ni 106.

Akiaga mkoa wa Kilimanjaro,  Ismail Ally Ussi  amesema miradi yote imetekelezwa kwa ubunifu ufanisi mkubwa na imeakisi thamani ya miradi.

Aidha amewapongeza wakuu wa wilaya wote  waliopo mkoani humo  kwa jitihada wanazofanya katika  kusaidia miradi  ya maendeleo.

"Mimi ningeambiwa nishauri,  ningeshauri wakuu wa wilaya hawa wasiondoke hapa  wamsaidie  Mheshimiwa  Rais Dk Samia Suluhu Hassan  kusimamia maendeleo  ya wananchi,nimeridhishwa na utendaji kazi wao kila mahali nilipofika  tulikuta mambo yameeleweka hakika hawa ni viongozi,"amesema.

Matangazo

  • Kwa Huduma Bora ya Ukumbi wa kisasa wa Mikutano, Tafadhali fika Ofisini au wasiliana nasi kwa S.L. P 3070, Moshi. au Piga simu namba 027 2758248/027 2751 February 03, 2020
  • ZOEZI LA KUBORESHA TAARIFA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KUANZA MEI 16 HADI MEI 22 2025 KILIMANJARO May 15, 2025
  • MRADI WA BOOST April 01, 2023
  • Angalia Zote

Habari

  • MHE BABU AKIUKABIDHI MWENGE WA UHURU 2025 MKOANI ARUSHA

    July 05, 2025
  • UPANUZI WA SKIMU YA MAJI YA LAWATE (GARARAGUA - KIDICO) KUNUFAISHA WANANCHI ZAIDI YA 7,000 WILAYANI SIHA.

    July 03, 2025
  • SERIKALI KUBORESHWA HUDUMA ZA AFYA ROMBO

    July 02, 2025
  • IDADI YA VIFO VYA AJALI YA MOTO SAME YAFIKIA 42

    July 02, 2025
  • Angalia Zote

Video

Kujisajili kwenye mfumo wa NeST - Hatua ya Awali
Video

Kiunganishi cha Haraka

  • Webmail
  • Malalamiko
  • Watumishi Portal

Tovuti zinazohusiana nasi

  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi (LIVE)
  • Mfumo wa Usambazaji Mafaili kwa njia ya Ki-Eletroniki (E-Office)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na Kufuatilia malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    17 Barabara ya Florida

    Anuani ya Posta: P. O. Box 3070, Moshi

    Simu: +255 (027) 2754236/7

    Mobile:

    Anuani pepe: ras@kilimanjaro.go.tz / ras.kilimanjaro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakiimiliki©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro.Haki zote zimehifadhiwa