• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kilimanjaro Region
Kilimanjaro Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kilimanjaro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia ya Mkoa
    • Viongozi wa Mkoa
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Sekretariati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
      • Trade and Investment
      • Administration and Human Resource Department
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Teknologia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ukaguzi wa Ndani
    • Miongozo
  • Wilaya
    • Hai
    • Moshi
    • Mwanga
    • Same
    • Rombo
    • Siha
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hai
    • Halmashauri ya Wilaya ya Moshi
    • Halmashauri ya Manispaa ya Moshi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Same
    • Halmashauri ya Wilaya ya Siha
    • Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Albam
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

MIUNDOMBINU YA ELIMU YAZIDI KUIMARIKA KWA WANANCHI WA KWAKTAU, ROMBO.

Posted on: July 2nd, 2025

Serikali imeendelea kuboresha miundombinu ya shule za msingi nchini, ambapo shule ya msingi Kwaktau iliyopo katika Wilaya ya Rombo imepata neema ya ujenzi na ukarabati mkubwa wa miundombinu ya elimu.

Akisoma taarifa ya mradi huo kwa kiongozi wa Mbio wa Mwenge Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Kwaktau  Filemoni Nyaki amesema kukamilika kwa mradi huu kutaleta manufaa makubwa kwa kuboresha mazingira ya ufundishaji na ujifunzaji na kuimarisha mahudhurio ya wanafunzi kwa kupunguza changamoto za utoro.

Ameendelea kusema kuwa Mradi huo umehusisha ujenzi wa vyumba saba vya madarasa ya elimu Msingi, mawili ya awali ya Elimu na  matundu 16 ya vyoo pamoja na kichomea taka vyanye gharama ya Milioni 315.5 hatua inayolenga kuongeza mazingira bora na salama kwa wanafunzi kujifunza. Hali hiyo ni baada ya shule hiyo kukumbwa na changamoto ya miundombinu chakavu kwa muda mrefu, hali iliyokuwa ikikwamisha maendeleo ya elimu kwa watoto wa eneo hilo.

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2025, Ndg. Ismail Ussi, ametembelea na kukagua utekelezaji wa mradi huo, aliipongeza serikali kwa juhudi za dhati za kuinua elimu, huku akimpongeza Mkuu wa Wilaya ya Rombo, Mhe. Raymond Mangwala, kwa kusimamia kwa karibu ujenzi huo na kuhakikisha ubora unazingatiwa.


Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Rombo, Mhe. Raymond Mangwala, alisema kuwa shule hiyo ilikuwa katika hali ya uchakavu mkubwa wa madarasa, vyoo na miundombinu mingine muhimu, hali iliyosababisha usumbufu kwa walimu na wanafunzi. Alieleza kuwa kukamilika kwa mradi huu kutabadilisha kabisa taswira ya shule hiyo na kuinua kiwango cha ufauliu.

Matangazo

  • Kwa Huduma Bora ya Ukumbi wa kisasa wa Mikutano, Tafadhali fika Ofisini au wasiliana nasi kwa S.L. P 3070, Moshi. au Piga simu namba 027 2758248/027 2751 February 03, 2020
  • ZOEZI LA KUBORESHA TAARIFA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KUANZA MEI 16 HADI MEI 22 2025 KILIMANJARO May 15, 2025
  • MRADI WA BOOST April 01, 2023
  • Angalia Zote

Habari

  • SERIKALI KUBORESHWA HUDUMA ZA AFYA ROMBO

    July 02, 2025
  • IDADI YA VIFO VYA AJALI YA MOTO SAME YAFIKIA 42

    July 02, 2025
  • VIJANA WILAYANI ROMBO WAMEHIMIZWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI

    July 02, 2025
  • MIUNDOMBINU YA ELIMU YAZIDI KUIMARIKA KWA WANANCHI WA KWAKTAU, ROMBO.

    July 02, 2025
  • Angalia Zote

Video

Kujisajili kwenye mfumo wa NeST - Hatua ya Awali
Video

Kiunganishi cha Haraka

  • Webmail
  • Malalamiko
  • Watumishi Portal

Tovuti zinazohusiana nasi

  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi (LIVE)
  • Mfumo wa Usambazaji Mafaili kwa njia ya Ki-Eletroniki (E-Office)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na Kufuatilia malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    17 Barabara ya Florida

    Anuani ya Posta: P. O. Box 3070, Moshi

    Simu: +255 (027) 2754236/7

    Mobile:

    Anuani pepe: ras@kilimanjaro.go.tz / ras.kilimanjaro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakiimiliki©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro.Haki zote zimehifadhiwa