• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kilimanjaro Region
Kilimanjaro Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kilimanjaro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia ya Mkoa
    • Viongozi wa Mkoa
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Sekretariati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
      • Trade and Investment
      • Administration and Human Resource Department
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Teknologia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ukaguzi wa Ndani
    • Miongozo
  • Wilaya
    • Hai
    • Moshi
    • Mwanga
    • Same
    • Rombo
    • Siha
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hai
    • Halmashauri ya Wilaya ya Moshi
    • Halmashauri ya Manispaa ya Moshi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Same
    • Halmashauri ya Wilaya ya Siha
    • Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Albam
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

MWENGE WA UHURU WARIDHISWA NA UTUNZAJI MAZINGIRA ROMBO

Posted on: April 5th, 2024

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2024 Godfrey Ekiakim Mnzava ameonyesha kuridhishwa na upandwaji wa miti pamoja na Utunzaji katika shamba la Miti la Rongai lilipo Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro ambalo linasimamiwa na Wakala wa huduma za Misitu Tanzania (TFS)

Kiongozi huyo amesema Mwenge umekuta kitu cha tofauti miti imepandwa , imetunzwa na inakuwa na hilo ndio jambo ambalo wanalifanya Nchi nzima kuhakikisha miti inayo pandwa inatunzwa vizuri na sio kupanda miti na kuitelekeza na  kama wapo watu wanataka kujifunza upandaji wa Miti wafike Rombo ili kuweza kuona jinsi gani wanavyo tunza miti waliyoiotesha.

Mnzava ameayasema hayo April 05,2024 wakati Mwenge wa  Uhuru ulipo tembelea,  kukagua , kupanda miti Shamba la miti pamoja na Uzinduzi wa Kitalu cha miti.

Akitoa taarifa ya Shamba la Miti Rongai  kwa Kiongozi wa Mbio za Mwenge ,Mhifadhi wa Shamba la miti Rongai Joel Naasi amesema Shamba hilo lina Bustani ya miche yenye uwezo wa kukuza miche laki sita ambapo  Bustani hiyo imekuwa chanzo kikubwa cha miche inayo pandwa kwenye shamba lao ,kugawa kwa jamii na Taasisi za Umma na Binafsi.

Naasi amesema kwa Mwaka wa fedha 2023/2024 Miche 26,900 imegawanywa kwa ajili ya utunzaji wa Mazingira , pamoja na kuoakoa vyanzo vya Maji.

Naasi amesema mafanikio yaliyopatikana hadi sasa ni Wananchi, Taasisi za Serikali na Binafsi kushiriki katika Kampeni  za Utunzaji wa Mazingira na Vyanzo vya Maji ambapo Miti zaidi ya 4,000 imepandwa katika vyanyo vya Maji kwa Mwaka wa Fedha 20223/2024 katika  kipindi cha Mvua za Vuli.

Kauli Mbiu Mwaka huu inasema “Tunza Mazingira,na shiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa Ujenzi wa Taifa endelevu”.

Mwisho.

Matangazo

  • Kwa Huduma Bora ya Ukumbi wa kisasa wa Mikutano, Tafadhali fika Ofisini au wasiliana nasi kwa S.L. P 3070, Moshi. au Piga simu namba 027 2758248/027 2751 February 03, 2020
  • ZOEZI LA KUBORESHA TAARIFA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KUANZA MEI 16 HADI MEI 22 2025 KILIMANJARO May 15, 2025
  • MRADI WA BOOST April 01, 2023
  • Angalia Zote

Habari

  • KATIBU TAWALA MKOA WA KILIMANJARO ASISITIZA UTOAJI WA MIKOPO YA ASILIMIA 10 KWA VIKUNDI VYA WANANCHI WILAYANI HAI

    June 18, 2025
  • HALMASHAURI YA SIHA YAPONGEZWA KWA UKUSANYAJI BORA WA MAPATO

    June 17, 2025
  • BASATA YAWANOA MAAFISA UTAMADUNI NA BIASHARA KILIMANJARO

    May 22, 2025
  • VIJANA NA WANAWAKE MSIKOPE BILA MALENGO

    May 15, 2025
  • Angalia Zote

Video

Kujisajili kwenye mfumo wa NeST - Hatua ya Awali
Video

Kiunganishi cha Haraka

  • Webmail
  • Malalamiko
  • Watumishi Portal

Tovuti zinazohusiana nasi

  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi (LIVE)
  • Mfumo wa Usambazaji Mafaili kwa njia ya Ki-Eletroniki (E-Office)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na Kufuatilia malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    17 Barabara ya Florida

    Anuani ya Posta: P. O. Box 3070, Moshi

    Simu: +255 (027) 2754236/7

    Mobile:

    Anuani pepe: ras@kilimanjaro.go.tz / ras.kilimanjaro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakiimiliki©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro.Haki zote zimehifadhiwa