• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kilimanjaro Region
Kilimanjaro Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kilimanjaro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia ya Mkoa
    • Viongozi wa Mkoa
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Sekretariati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
      • Trade and Investment
      • Administration and Human Resource Department
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Teknologia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ukaguzi wa Ndani
    • Miongozo
  • Wilaya
    • Hai
    • Moshi
    • Mwanga
    • Same
    • Rombo
    • Siha
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hai
    • Halmashauri ya Wilaya ya Moshi
    • Halmashauri ya Manispaa ya Moshi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Same
    • Halmashauri ya Wilaya ya Siha
    • Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Albam
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

RC BABU AMSIMIKA MANGI WA MACHAME

Posted on: December 14th, 2024


Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Nurdin Babu ametoa wito kwa Viongozi wa Kimila  Mkoani hapa kushirikiana na Serikali  kupinga mmomonyoko wa maadili na kudumisha mila na desturi nzuri katika Jamii.

Amesema hayo Desemba 14, 2024 wakati akihutubia Mamia ya Wananchi kwenye Hafla ya Kusimikwa kwa Mangi wa Machame ambaye ni Kiongozi wa Mila Jamii ya Wachaga katika kijiji cha Wari Kata ya Machame ambapo amebainisha kuwepo kwa mmomonyoko wa Maadili kwa baadhi ya jamii zilizopo Mkoani hapa na hivyo kuwaasa viongozi hao kushirikiana na Serikali kukomesha wimbi la uhalifu na tabia zingine zinazopelekea mmomonyoko wa Maadili katika jamii ikiwemo suala la na Ulawiti,ubakaji na mimba kwa wanafunzi.

" Katika miezi miwili iliyopita Kamanda wa Jeshi la Polisi  wa Mkoa wa Kilimanjaro amefanya kazi kubwa sana, tumewafunga watu 30,wengine tumewafunga Maisha na wengine Miaka 30 kwa tabia Mbaya wanazozifanya kwa Watoto wetu" alisema Rc. Babu.

Naye Katibu Tawala wa Mkoa Bw. Kiseo Nzowa amesema kuwa serikali ya Mkoa  na Watumishi wake itashirikiana vyema na  Kiongozi Mpya wa Jamii hiyo  kutatua kero za Wananchi ili kuleta Maendeleo na ustawi katika jamii.

Kwa upande wake Ndg.Gilbet Shangana Mangi mpya aliyesimikwa kuongoza jamii hiyo amemshukuru Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan  kwa kuendelea kuthamini maendeleo ya Mila na desturi za jamii katika kuendeleza na kulinda amani ya Nchi.

Aidha amekiri kushirikiana na Serikali ya Awamu ya Sita kuendelea kulinda maadili katika Jamii hiyo, kutunza Mazingira  pamoja na Mila na desturi za Taifa letu.

Matangazo

  • Kwa Huduma Bora ya Ukumbi wa kisasa wa Mikutano, Tafadhali fika Ofisini au wasiliana nasi kwa S.L. P 3070, Moshi. au Piga simu namba 027 2758248/027 2751 February 03, 2020
  • ZOEZI LA KUBORESHA TAARIFA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KUANZA MEI 16 HADI MEI 22 2025 KILIMANJARO May 15, 2025
  • MRADI WA BOOST April 01, 2023
  • Angalia Zote

Habari

  • VIJANA NA WANAWAKE MSIKOPE BILA MALENGO

    May 15, 2025
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewaongoza wananchi kumsindikiza aliyekuwa Makamu wa kwanza wa Rais na Waziri Mkuu mstaafu, Hayati Cleopa David Msuya katika safari yake ya mwisho.

    May 13, 2025
  • Mwili wa Hayati Cleopa D. Msuya waagwa katika viwanja vya CD Msuya wilayani Mwanga

    May 12, 2025
  • SERIKALI KUTENGA BILIONI 7 KUTEKELEZA UJENZI WA BARABARA YA MABOGINI - KAHE

    May 04, 2025
  • Angalia Zote

Video

Kujisajili kwenye mfumo wa NeST - Hatua ya Awali
Video

Kiunganishi cha Haraka

  • Webmail
  • Malalamiko
  • Watumishi Portal

Tovuti zinazohusiana nasi

  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi (LIVE)
  • Mfumo wa Usambazaji Mafaili kwa njia ya Ki-Eletroniki (E-Office)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na Kufuatilia malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    17 Barabara ya Florida

    Anuani ya Posta: P. O. Box 3070, Moshi

    Simu: +255 (027) 2754236/7

    Mobile:

    Anuani pepe: ras@kilimanjaro.go.tz / ras.kilimanjaro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakiimiliki©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro.Haki zote zimehifadhiwa