• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kilimanjaro Region
Kilimanjaro Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kilimanjaro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia ya Mkoa
    • Viongozi wa Mkoa
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Sekretariati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
      • Trade and Investment
      • Administration and Human Resource Department
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Teknologia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ukaguzi wa Ndani
    • Miongozo
  • Wilaya
    • Hai
    • Moshi
    • Mwanga
    • Same
    • Rombo
    • Siha
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hai
    • Halmashauri ya Wilaya ya Moshi
    • Halmashauri ya Manispaa ya Moshi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Same
    • Halmashauri ya Wilaya ya Siha
    • Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Albam
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

RC KILIMANJARO ATOA MAAGIZO KWA VIONGOZI WA HALMASHAURI KWENYE RCC

Posted on: November 6th, 2023

Viongozi wa Halmashauri za Mkoa wa Kilimanjaro wameelekezwa kutoa  taarifa kwa wananchi kuhusu fedha za miradi ya maendeleo zinazotolewa na Serikali ya awamu ya sita.

Amewataka kutumia mbao za matangazo, mikutano na mitandao ya kijamii na redio za ndani kwa jili ya kufikisha taarofa kwa wananchi wote.

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Nurdin Babu ameyasema hayo wakati wa kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa kilichofanyika Novemba 6, 2023 katika ukumi wa mikutano wa Mkuu wa Mkoa.

Aidha, Mhe. Babu amezitaka Halmashauri zote pamoja na Mamlaka ya Mapato TRA kuhakikisha wanakusanya mapato ya Serikali kwa kuzingatia sheria na taratibu zaukusanyaji wa mapato pia amezitaka halmashauri za Mkoa kubuni vyanzo vipya vya mapato pamoja na kusimamia kikamilifu ukusanyaji wa mapato wa vyanzo vilovyopo.

Vilevile, Babu amesema kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi na mvua kubwa zinazoendelea kipindi hichi amewataka Wakuu wa Wilaya kuwasihi wananchi wanaoishi maeneo ya bondeni kuondoka katika maeneo hayo lengo ni kuepuka athari zinazosababishwa na mvua.

Kwa upande wake Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro Bw. Tixon Nzunda amesema kuwa ushirikiano ulipo kati ya viongozi na wadau  ndani ya Mkoa umewezesha watendaji kufanya majukumu yao kwa bidii, na kwa kuzingatia misingi ya Utawala bora, Sera, Sheria, Mikakati, Miongozi pamoja na Mipangokazi.

Akiwasilisha taarifa ya Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Moshi (MUWSA) Eng.Innocent Logodisha amesema katika kipindi cha mwaka wa fedha 2022/23 pamoja na robo ya kwanza kwa mwaka 2023/24 Mamlaka ilifanikiwa Kusimamia na kukamilisha utekelezaji wa Mradi wa Majisafi wa Miwaleni na Ujenzi wa Mtandao wa majitaka “Kata ya Korongoni na Longuo A hatua hizo zimepelekea kuunga jumla ya wateja wapya 3,241 kwenye huduma ya majisafi na wateja wapya 313 wameungwa kwenye mtandao wa majitaka na kuongeza kiwango cha makusanyo kutoka Shilingi Milioni 970 kwa mwezi na hadi Shilingi Bilioni 1.

Naye Mwakilishi wa NaCONGO Mkoa wa Kilimanjaro Bi.Asifiwe James Malya amesema kwa mwaka 2022/2023 Mkoa umekua Jumla ya Mashirika yaliyohakikiwa 188, Mashirika yanayofanya kazi jumla ni 104 na Mashirika  yasiyofanyakazi  84. Aidha, katika utekelezaji wa afua mbalimbali katika sekta ya Ngos jumla ya watu 32,291,751  waliweza kunufaika katika uwezeshwaji kiuchumji, Mazingira pamoja na msaada wa kisheria.



Matangazo

  • Kwa Huduma Bora ya Ukumbi wa kisasa wa Mikutano, Tafadhali fika Ofisini au wasiliana nasi kwa S.L. P 3070, Moshi. au Piga simu namba 027 2758248/027 2751 February 03, 2020
  • ZOEZI LA KUBORESHA TAARIFA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KUANZA MEI 16 HADI MEI 22 2025 KILIMANJARO May 15, 2025
  • MRADI WA BOOST April 01, 2023
  • Angalia Zote

Habari

  • VIJANA NA WANAWAKE MSIKOPE BILA MALENGO

    May 15, 2025
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewaongoza wananchi kumsindikiza aliyekuwa Makamu wa kwanza wa Rais na Waziri Mkuu mstaafu, Hayati Cleopa David Msuya katika safari yake ya mwisho.

    May 13, 2025
  • Mwili wa Hayati Cleopa D. Msuya waagwa katika viwanja vya CD Msuya wilayani Mwanga

    May 12, 2025
  • SERIKALI KUTENGA BILIONI 7 KUTEKELEZA UJENZI WA BARABARA YA MABOGINI - KAHE

    May 04, 2025
  • Angalia Zote

Video

Kujisajili kwenye mfumo wa NeST - Hatua ya Awali
Video

Kiunganishi cha Haraka

  • Webmail
  • Malalamiko
  • Watumishi Portal

Tovuti zinazohusiana nasi

  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi (LIVE)
  • Mfumo wa Usambazaji Mafaili kwa njia ya Ki-Eletroniki (E-Office)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na Kufuatilia malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    17 Barabara ya Florida

    Anuani ya Posta: P. O. Box 3070, Moshi

    Simu: +255 (027) 2754236/7

    Mobile:

    Anuani pepe: ras@kilimanjaro.go.tz / ras.kilimanjaro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakiimiliki©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro.Haki zote zimehifadhiwa