• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kilimanjaro Region
Kilimanjaro Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kilimanjaro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia ya Mkoa
    • Viongozi wa Mkoa
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Sekretariati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
      • Trade and Investment
      • Administration and Human Resource Department
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Teknologia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ukaguzi wa Ndani
    • Miongozo
  • Wilaya
    • Hai
    • Moshi
    • Mwanga
    • Same
    • Rombo
    • Siha
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hai
    • Halmashauri ya Wilaya ya Moshi
    • Halmashauri ya Manispaa ya Moshi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Same
    • Halmashauri ya Wilaya ya Siha
    • Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Albam
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

ROMBO WANUFAIKA NA MRADI WA KIMKAKATI

Posted on: January 7th, 2025

Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama (MB) nchini,amesema serikali umewekeza Mradi Mkubwa wa kimkakati ambao haujawai kuwepo katika wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro

"Mradi huu unahitaji Mafundi wa kurekebisha koki  kuingiza maji Kwenye nyumba za watu , Mafundi hao watapata ujuzi kutoka kwenye shule ya ufundi na chuo Cha ufundi" Amesema Mhagama

Ameyasema hayo Januari 7,2025 katika ziara yake alipotembelea na kukagua Mradi wa Afya wilayani Rombo katika  kata ya Kalamfua mokala  mkoani hapa

Aidha amesema wilaya hiyo imepokea Kwa miaka minne ya uongozi wa serikali ya awamu ya Sita Bilioni 82 yakuwezesha utekelezaji wa miradi mbalimbali ikiwemo Afya ,Elimu,Maji ,na Umeme

"Katika wilaya hii tayari tumeanza kujenga chuo Cha veta pamoja na Shule ya ufundi wa Umeme hivyo Mhe.Rais Dakt.Samia suluhu Hassan ameanza kutengeneza ajira Kwa vijana kupitia sekta ya Umeme ili kutatua tatizo la ajira Kwa vijana"

Hata hivyo amesema mpango wa serikali ni kufungamanisha soko la Mamsera na hololo na Miradi mikubwa ambayo Sasa wameamua uletwe, na umwagiliaji kwenye kilimo Cha kisasa Cha ndizi kwenye halmashauri hiyo na katika wilaya ya Rombo

"Vitu hivyo vikifungamanishwa vizuri vitasaidia kuifanya zai la ndizi liwe la kibiashara Zaidi liongeze mapato Kwa wananchi pia na uchumi katika wilaya"Amesema Mhagama

Sambamba na hayo Baadhi ya Wananchi wilayani humo wameishukuru serikali ya awamu ya Sita kwa kuendelea kutekeleza ujenzi wa miundombinu ya Afya 

"Naishukuru serikali ya Rais Samia suluhu Hassan Kwa Yale yote anayoifanya katika wilaya yetu ,ametuletea kituo Cha Afya katika kata yetu ya Kalamfua mokala  na ametutengenezea na wodi ya wazazi" Amesema Romania Laswai

"Serikali ya awamu ya Sita imetuletea kituo Cha Afya kwani tulikuwa hatuna kituo Cha Afya Kwa Sasa hivi tunapata huduma nzuri ,tunapokelewa vizuri na wahudumu wa kituo hichi wamama wajawazito wanajifungua salama kwani tumetengenezewa pamoja na wodi ya wazazi"Amesema Efgenia Bimng'anya

Matangazo

  • Kwa Huduma Bora ya Ukumbi wa kisasa wa Mikutano, Tafadhali fika Ofisini au wasiliana nasi kwa S.L. P 3070, Moshi. au Piga simu namba 027 2758248/027 2751 February 03, 2020
  • ZOEZI LA KUBORESHA TAARIFA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KUANZA MEI 16 HADI MEI 22 2025 KILIMANJARO May 15, 2025
  • MRADI WA BOOST April 01, 2023
  • Angalia Zote

Habari

  • VIJANA NA WANAWAKE MSIKOPE BILA MALENGO

    May 15, 2025
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewaongoza wananchi kumsindikiza aliyekuwa Makamu wa kwanza wa Rais na Waziri Mkuu mstaafu, Hayati Cleopa David Msuya katika safari yake ya mwisho.

    May 13, 2025
  • Mwili wa Hayati Cleopa D. Msuya waagwa katika viwanja vya CD Msuya wilayani Mwanga

    May 12, 2025
  • SERIKALI KUTENGA BILIONI 7 KUTEKELEZA UJENZI WA BARABARA YA MABOGINI - KAHE

    May 04, 2025
  • Angalia Zote

Video

Kujisajili kwenye mfumo wa NeST - Hatua ya Awali
Video

Kiunganishi cha Haraka

  • Webmail
  • Malalamiko
  • Watumishi Portal

Tovuti zinazohusiana nasi

  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi (LIVE)
  • Mfumo wa Usambazaji Mafaili kwa njia ya Ki-Eletroniki (E-Office)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na Kufuatilia malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    17 Barabara ya Florida

    Anuani ya Posta: P. O. Box 3070, Moshi

    Simu: +255 (027) 2754236/7

    Mobile:

    Anuani pepe: ras@kilimanjaro.go.tz / ras.kilimanjaro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakiimiliki©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro.Haki zote zimehifadhiwa