• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kilimanjaro Region
Kilimanjaro Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kilimanjaro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia ya Mkoa
    • Viongozi wa Mkoa
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Sekretariati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
      • Trade and Investment
      • Administration and Human Resource Department
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Teknologia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ukaguzi wa Ndani
    • Miongozo
  • Wilaya
    • Hai
    • Moshi
    • Mwanga
    • Same
    • Rombo
    • Siha
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hai
    • Halmashauri ya Wilaya ya Moshi
    • Halmashauri ya Manispaa ya Moshi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Same
    • Halmashauri ya Wilaya ya Siha
    • Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Albam
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

SERIKALI KUBORESHWA HUDUMA ZA AFYA ROMBO

Posted on: July 2nd, 2025

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025, Bw. Ismail Ali Ussi amesema Serikali kupitia Wizara ya afya imeendelea kuboresha mazingira rafiki kwa watumishi wa afya lengo kutoa huduma bora kwa wanachi.


Ameyasema hayo leo Julai 2,2025  wakati Mwenge wa Uhuru ulipofika katika hospitali ya wilaya ya Rombo kuweka jiwe la msingi katika nyumba ya Watumishi hospitalini hapo.


Alisema kuwa, serikali imeendelea kujenga hospitali katika maeneo mbalimbali kwa ngazi tofauti ambapo kwa mkoa wa Kilimanjaro ni miongoni mwa mikoa ambayo imebarikiwa kupata huduma za afya katika maeneo mbalimbali.


Alisema kuwa, kukamilika kwa nyumba hizo pamoja na madaktari  kuhamia itasaidia wananchi kupatiwa huduma muda wote na kupunguza changamoto ya Afya kwa wananchi.


Aidha amewataka, Madaktari hao ambao wataishi katika nyumba hizo kuhakikisha wanafanya uadilifu na uaminifu katika kutoa huduma kwa wananchi.

Akisoma taarifa ya ujenzi wa nyumba hiyo, Dkt. Fortunatus Anthony alisema kuwa, kutokana na umbali na uhaba wa nyumba za Watumishi katika eneo la Hospitali hiyo umepelekea Watumishi kuwa na wakati mgumu kufika hospitali na kutoa huduma kwa wagonjwa kwa wakati.


Dkt. Fortunatus alisema kuwa, serikali ilitoa fedha milioni 120 kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa nyumba za Watumishi ya familia mbili kwa moja.


Alisema lengo la mradi huo ni kuwezesha Watumishi kuishi karibu na eneo la kazi na wananchi kuendelea kupata huduma kwa masaa 24, na kuongeza ufanisi katika kutoa huduma mbalimbali katika hospitali.

Matangazo

  • Kwa Huduma Bora ya Ukumbi wa kisasa wa Mikutano, Tafadhali fika Ofisini au wasiliana nasi kwa S.L. P 3070, Moshi. au Piga simu namba 027 2758248/027 2751 February 03, 2020
  • ZOEZI LA KUBORESHA TAARIFA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KUANZA MEI 16 HADI MEI 22 2025 KILIMANJARO May 15, 2025
  • MRADI WA BOOST April 01, 2023
  • Angalia Zote

Habari

  • SERIKALI KUBORESHWA HUDUMA ZA AFYA ROMBO

    July 02, 2025
  • IDADI YA VIFO VYA AJALI YA MOTO SAME YAFIKIA 42

    July 02, 2025
  • VIJANA WILAYANI ROMBO WAMEHIMIZWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI

    July 02, 2025
  • MIUNDOMBINU YA ELIMU YAZIDI KUIMARIKA KWA WANANCHI WA KWAKTAU, ROMBO.

    July 02, 2025
  • Angalia Zote

Video

Kujisajili kwenye mfumo wa NeST - Hatua ya Awali
Video

Kiunganishi cha Haraka

  • Webmail
  • Malalamiko
  • Watumishi Portal

Tovuti zinazohusiana nasi

  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi (LIVE)
  • Mfumo wa Usambazaji Mafaili kwa njia ya Ki-Eletroniki (E-Office)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na Kufuatilia malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    17 Barabara ya Florida

    Anuani ya Posta: P. O. Box 3070, Moshi

    Simu: +255 (027) 2754236/7

    Mobile:

    Anuani pepe: ras@kilimanjaro.go.tz / ras.kilimanjaro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakiimiliki©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro.Haki zote zimehifadhiwa