• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kilimanjaro Region
Kilimanjaro Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kilimanjaro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia ya Mkoa
    • Viongozi wa Mkoa
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Sekretariati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
      • Trade and Investment
      • Administration and Human Resource Department
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Teknologia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ukaguzi wa Ndani
    • Miongozo
  • Wilaya
    • Hai
    • Moshi
    • Mwanga
    • Same
    • Rombo
    • Siha
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hai
    • Halmashauri ya Wilaya ya Moshi
    • Halmashauri ya Manispaa ya Moshi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Same
    • Halmashauri ya Wilaya ya Siha
    • Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Albam
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

WAKAZI WA HAI WAISHUKURU SERIKALI KWA MIUNDOMBINU YA BARABARA

Posted on: December 12th, 2024

Baadhi ya wakazi katika wilaya ya Hai na Siha Mkoani Kilimanjaro wameishukuru Serikali ya awamu ya Sita kwa kusikia kilio chao cha ubovu wa miundombinu ya Barabara ya Bomang'ombe -Kikavuchini na kutopitika kwa daraja Manyata nyakati za mvua.

Wakitoa kauli zao kwa nyakati tofauti, wakazi hao wamesema hakika kwa sasa ni faraja kwani ujenzi wa miundombinu hiyo unaendelea na hivyo wataondokana na adha waliyokuwa wakiipata.

Wamesema walikuwa wakisafirisha mazao yao kwa shida na wakati mwingine hata watoto walikuwa wakishindwa kwenda shule kutokana na ubovu wa miundombinu uliokuwepo.

Akitoa taarifa ya ujenzi wa barabara ya Bomang'ombe -Kikavuchini Meneja TARURA wilaya ya Hai Injinia Fransic Kuya amesema ujenzi umeanza Agosti 5,2024 na unatarajiwa kukamilika Agosti 4,2025 ambapo utagharimu kiasi cha shilingi Bilioni 2.8.

Akizungumzia ujenzi wa daraja la Mawe MANYATA, Meneja TARURA wilayani Siha Injinia Protas Kavishe amesema mradi utagharimu kiasi cha shilingi milioni 336.9 ambapo kwa sasa umefikia asilimia 92 ambapo unatarajiwa kukamilika Januari 15,2025.

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Nurdin Babu akasisitiza wakandarasi wanaotekeleza ujenzi wa miradi hiyo kukamilisha kwa wakati kwani Serikali imekuwa ikitoa fedha nyingi ili kuhakikisha wananchi wanaondoka na adha wanazozipata katika miundombinu hiyo.

Bodi hiyo ya barabara pia imetembelea ujenzi wa barabara kiwango cha lami ya Getifonga-Mabogini Kahe iliyoko wilayani Moshi yenye urefu wa kilomita 1.2 ambapo ujenzi wake unaendelea.

Matangazo

  • Kwa Huduma Bora ya Ukumbi wa kisasa wa Mikutano, Tafadhali fika Ofisini au wasiliana nasi kwa S.L. P 3070, Moshi. au Piga simu namba 027 2758248/027 2751 February 03, 2020
  • ZOEZI LA KUBORESHA TAARIFA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KUANZA MEI 16 HADI MEI 22 2025 KILIMANJARO May 15, 2025
  • MRADI WA BOOST April 01, 2023
  • Angalia Zote

Habari

  • KATIBU TAWALA MKOA WA KILIMANJARO ASISITIZA UTOAJI WA MIKOPO YA ASILIMIA 10 KWA VIKUNDI VYA WANANCHI WILAYANI HAI

    June 18, 2025
  • HALMASHAURI YA SIHA YAPONGEZWA KWA UKUSANYAJI BORA WA MAPATO

    June 17, 2025
  • BASATA YAWANOA MAAFISA UTAMADUNI NA BIASHARA KILIMANJARO

    May 22, 2025
  • VIJANA NA WANAWAKE MSIKOPE BILA MALENGO

    May 15, 2025
  • Angalia Zote

Video

Kujisajili kwenye mfumo wa NeST - Hatua ya Awali
Video

Kiunganishi cha Haraka

  • Webmail
  • Malalamiko
  • Watumishi Portal

Tovuti zinazohusiana nasi

  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi (LIVE)
  • Mfumo wa Usambazaji Mafaili kwa njia ya Ki-Eletroniki (E-Office)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na Kufuatilia malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    17 Barabara ya Florida

    Anuani ya Posta: P. O. Box 3070, Moshi

    Simu: +255 (027) 2754236/7

    Mobile:

    Anuani pepe: ras@kilimanjaro.go.tz / ras.kilimanjaro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakiimiliki©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro.Haki zote zimehifadhiwa