Posted on: June 23rd, 2021
Halmashauri ya Wilaya ya Hai imetakiwa kutekeleza ushauri na maelekezo yaliyotolewa na Baraza la Madiwani wa Halmashauri juu ya hoja za Mkaguzi ambazo hazijafungwa.
Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa w...
Posted on: June 22nd, 2021
Wakuu wa Wilaya katika Mkoa wa Kilimanjaro wametakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za Utawala Bora ili waweze kufanya kazi zao bila kukiuka maadili ya uongozi.
Ra...
Posted on: June 17th, 2021
Serikali Mkoani Kilimanjaro imewataka Watendaji pamoja na Madiwani kuendelea kushirikiana katika utekelezaji wa majukumu ili kukuza uchumi wa Wilaya, Mkoa na Taifa kwa ujumla.
...