Posted on: May 21st, 2020
Wadau wa maendeleo mkoani Kilimanjaro wametakiwa kuendelea kujitokeza kutoa midsaada yao kwa wananchi waliopatwa na janga la mafuriko katika mkoa wa kilimanjaro.
Wito huo umetolewa na Mkuu...
Posted on: May 19th, 2020
Makatibu Tawala wa Wilaya katika mkoa wa Kilimanjaro wametakiwa kuwapa ushirikiano maafisa tarafa ili kuwawezesha kutekeleza majukumu yao ya kila siku.
Akizungumza baada ya kugawa pikipiki 12 ziliz...
Posted on: April 29th, 2020
Wakurugenzi Watendaji wa halmashauri zilizopatwa na athari za mafuriko mkoani Kilimanjaro wametakiwa kuwafikishia misaada ya kibinadamu wananchi wote waliokumbwa na athari za mafuriko kwa haarak...