Posted on: July 10th, 2017
Watumishi wa serikali katika mkoani Kilimanjaro wametakiwa kutumia vizuri simu za mkononi na mitandao ya kijamii ili isiwe chanzo cha kupoteza muda wa kuwatumikia wananchi.
Akizungumza na watumishi...
Posted on: June 26th, 2017
Serikali hapa nchini imepiga marufuku uuzaji na usafirishaji wa mazao ya nafaka katika nje ya nchi bila kuwa na kibali cha serikali na kuagiza kamati za mikoa kusimamia kikamilifu agizo hi...
Posted on: June 9th, 2017
Wafanyabiashara na taasisi mbalimbali za kijamii zimehamasishwa kuunga mkono kampeni ya “Kili Challenge” inayoendeshwa na mgodi wa dhahabu wa geita kwa ajili ya kuchangisha fedha za mapambano dhidi ya...