• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kilimanjaro Region
Kilimanjaro Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kilimanjaro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia ya Mkoa
    • Viongozi wa Mkoa
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Sekretariati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
      • Trade and Investment
      • Administration and Human Resource Department
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Teknologia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ukaguzi wa Ndani
    • Miongozo
  • Wilaya
    • Hai
    • Moshi
    • Mwanga
    • Same
    • Rombo
    • Siha
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hai
    • Halmashauri ya Wilaya ya Moshi
    • Halmashauri ya Manispaa ya Moshi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Same
    • Halmashauri ya Wilaya ya Siha
    • Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Albam
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

RC Mghwira Ataka Nguvu Ziongezwe Kupambana na UKIMWI

Posted on: June 9th, 2017

Wafanyabiashara na taasisi mbalimbali za kijamii zimehamasishwa kuunga mkono kampeni ya “Kili Challenge” inayoendeshwa na mgodi wa dhahabu wa geita kwa ajili ya kuchangisha fedha za mapambano dhidi ya UKIMWI.

Wito huo umetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Anna Mghwira alipokuwa akiwapokea Wapanda Mlima Kilimanjaro na Waendesha Baiskeli waliofadhiliwa na  Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM) kwa ajili ya kuchangisha fedha za mapambano dhidi ya UKIMWI.

Mhe. Mgwira amesema ushiriki wa wadau wengi zaidi utasaidia kuwa na uwezo wa kufikia malengo ya kitaifa  ya kuwa na sifuri tatu ambazo ni kutokuwa na maambukizi mapya,  unyanyapaa na kutokuwa na vifo vitokanavyo na UKIMWI.

Aidha Mhe. Mghwira ameushukuru Mgodi wa Dhahabu wa Geita  kwa kushirikiana na Tume ya Taifa ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) pamoja na wadau washiriki, katika kuandaa na kuwezesha kampeni ya ’’kilimanjaro HIV and AIDS challenge” kila mwaka.

Mgodi wa Dhahabu wa Geita umekuwa ukiendesha kampeni inayoitwa  ’’kilimanjaro HIV and AIDS challenge” ambapo kila mwaka hufadhili wapanda mlima Kilimanjro ili kuchangisha fedha za mapambano dhidi ya UKIMWI.

Kwa mwaka huu jumla ya wapanda mlima  50 waliopanda kupitia lango la machame na kushuka kupitia lango la Mweka lilipo Kibosho wilayani Moshi huku waendesha baiskeli 37 waliendesha baiskeli kuuzunguka mlima Kilimanjaro.



Matangazo

  • Kwa Huduma Bora ya Ukumbi wa kisasa wa Mikutano, Tafadhali fika Ofisini au wasiliana nasi kwa S.L. P 3070, Moshi. au Piga simu namba 027 2758248/027 2751 February 03, 2020
  • ZOEZI LA KUBORESHA TAARIFA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KUANZA MEI 16 HADI MEI 22 2025 KILIMANJARO May 15, 2025
  • MRADI WA BOOST April 01, 2023
  • Angalia Zote

Habari

  • VIJANA CHANGAMKIENI FURSA ZA MKOPO WA SERIKALI

    June 29, 2025
  • WEKEZENI KWENYE MIRADI KUONGEZA AJIRA

    June 29, 2025
  • KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE KITAIFA AWEKA JIWE LA MSINGI SOKO JIPYA LA MBUYUNI, MOSHI

    June 28, 2025
  • MWENGE WA UHURU UTAZINDUA, KUWEKA MAWE YA MSINGI NA KUTEMBELEWA MIRADI 52 YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 84

    June 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

Kujisajili kwenye mfumo wa NeST - Hatua ya Awali
Video

Kiunganishi cha Haraka

  • Webmail
  • Malalamiko
  • Watumishi Portal

Tovuti zinazohusiana nasi

  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi (LIVE)
  • Mfumo wa Usambazaji Mafaili kwa njia ya Ki-Eletroniki (E-Office)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na Kufuatilia malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    17 Barabara ya Florida

    Anuani ya Posta: P. O. Box 3070, Moshi

    Simu: +255 (027) 2754236/7

    Mobile:

    Anuani pepe: ras@kilimanjaro.go.tz / ras.kilimanjaro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakiimiliki©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro.Haki zote zimehifadhiwa