• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kilimanjaro Region
Kilimanjaro Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kilimanjaro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia ya Mkoa
    • Viongozi wa Mkoa
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Sekretariati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
      • Trade and Investment
      • Administration and Human Resource Department
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Teknologia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ukaguzi wa Ndani
    • Miongozo
  • Wilaya
    • Hai
    • Moshi
    • Mwanga
    • Same
    • Rombo
    • Siha
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hai
    • Halmashauri ya Wilaya ya Moshi
    • Halmashauri ya Manispaa ya Moshi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Same
    • Halmashauri ya Wilaya ya Siha
    • Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Albam
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

Dkt. Mghwira Awataka Wanawake Kuwa Majasiri

Posted on: November 7th, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Dkt. Anna Mghwira amewataka wanawake wote nchini kuwa majasiri  na kujiamini wanapokuwa kwnye shughuli za maendeleo ili kuahakikisha kuwa maendeleo yanapatikana katika taifa.

Akiongea na wanawake wanaunda jumuiya ya wanawake  wanaondesha shughuli za utalii nchini (AWOTTA) Mhe Dkt. Mghwira amewaambia wanawake hao kuwa huu si wakati wa kutafuta nafasi ya mwananmke katika uongozi bali ni kusimama imara katika nafasi waliyonayo ili kuhakikisha malengo yao na malengo ya  taifa yanafikiwa.

Aidha mwenyekiti wa AWOTTA Bibi Marry Kalikawe amemjulisha Mhe. Mkuu wa Mkoa kuwa  tayari wameanza kuona mafanikio hususan katika kubadilisha fikra za jamii  na kuaminisha watu kuwa wanawake wana uwezo wa kufanya shughuli  yoyote ambayo italeta tija kwa jamii kama wanavyoweza wanaume.

Amemueleza  Mhe.Mkuu wa Mkoa kuwa walipowasilisha taarifa za uwepo wa AWOTTA kwenye kundi la "whatapp" la wafanyabiashara ya utalii walipata pongezi nyingi kutoka kwa wafanyabiashara wenzao ambao ni wa jinsia ya kiume na kupewa ujumbe wa heshima  kutoka kwa wafanya bishara hao.

Ameongeza kuwa wanawake wameshatoka kuwa mfano wa watu wenye tabia mbaya katika jamii ikiwemo kupoteza muda katika kuendekeza tabia za umbea na ugombanishi, badala yake wameonekana ni kundi linalojikita zaidi katika kufanya shughuli za maendeleo kwa ajili ya familia zao na taifa kwa ujumla.

Wanachama wa AWOTTA walimtembelea Mhe. Dkt. Anna Mghwira ofisini kwake kwa ajili ya kujitambulisha na kuweka mikakati ya ushirikiano kwa ajili ya maendeleo ya mkoa wa Kilimanjaro na taifa kwa ujumla.



Matangazo

  • Kwa Huduma Bora ya Ukumbi wa kisasa wa Mikutano, Tafadhali fika Ofisini au wasiliana nasi kwa S.L. P 3070, Moshi. au Piga simu namba 027 2758248/027 2751 February 03, 2020
  • MRADI WA BOOST April 01, 2023
  • Angalia Zote

Habari

  • SERIKALI KUTENGA BILIONI 7 KUTEKELEZA UJENZI WA BARABARA YA MABOGINI - KAHE

    May 04, 2025
  • RC KILIMANJARO ATAKA WATUMISHI WA UMMA KUTII SHERIA NA KANUNI ZA KAZI ILI KUONGEZA KAZINI

    May 01, 2025
  • Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro, Bw. Kiseo Nzowa, akihutubia wananchi na viongozi mbalimbali katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani.

    May 01, 2025
  • MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO ATOA SIKU 14

    April 26, 2025
  • Angalia Zote

Video

Kujisajili kwenye mfumo wa NeST - Hatua ya Awali
Video

Kiunganishi cha Haraka

  • Webmail
  • Malalamiko
  • Watumishi Portal

Tovuti zinazohusiana nasi

  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi (LIVE)
  • Mfumo wa Usambazaji Mafaili kwa njia ya Ki-Eletroniki (E-Office)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na Kufuatilia malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    17 Barabara ya Florida

    Anuani ya Posta: P. O. Box 3070, Moshi

    Simu: +255 (027) 2754236/7

    Mobile:

    Anuani pepe: ras@kilimanjaro.go.tz / ras.kilimanjaro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakiimiliki©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro.Haki zote zimehifadhiwa