• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kilimanjaro Region
Kilimanjaro Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kilimanjaro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia ya Mkoa
    • Viongozi wa Mkoa
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Sekretariati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
      • Trade and Investment
      • Administration and Human Resource Department
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Teknologia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ukaguzi wa Ndani
    • Miongozo
  • Wilaya
    • Hai
    • Moshi
    • Mwanga
    • Same
    • Rombo
    • Siha
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hai
    • Halmashauri ya Wilaya ya Moshi
    • Halmashauri ya Manispaa ya Moshi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Same
    • Halmashauri ya Wilaya ya Siha
    • Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Albam
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

Kasi ya Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Rombo Yamfurahisha RC

Posted on: August 20th, 2020

Mkuu wa Mkoa wa kilimanjaro amesema ameridhika na kasi na viwango vya ukarabati  kituo cha afya cha karume  kilichopo Useri wilayani pamoja  ujenzi wa hospali ya wilaya ya Rombo.

Akizungumza baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa majengo ya haospitali ya wilaya ya Rombo, Mhe. Dkt. Mghwira amewapongeza watumishi wa umma na mafundi wanaoshiriki katika miradi hiyo ambayo ni muhimu kwa kuhudumia afya za watu wa Rombo

Awali Mganga Mkuu wa wilaya ya Rombo Dkt. Boaz Mwakungile  amemueleza Dkt. Mghwira kuwa halmashauri ya wilwya ya Rombo imepokea kiasi cha shilingi bilioni 1.5  kutoka serikali kuu kwa ajili ya ujenzi wa hospitali ya wilaya ya Rombo.

Dkt. Mwakungile  amemueleza Mhe. Mkuu wa Mkoa kuwa fedha zilizotumika hadi sasa ni shilingi bilioni 1.33 ambazo zimetumika kukamilisha   majengo ya Utawala, mionzi, jeongo la  wagonjwa wa nje (OPD), kufulia, stoo ya dawa, maabara na wodi ya wazazi ambayo yapo kwenye hatua za umaliziaji.

Ameongeza kuwa mwezi Juni 2020 Halmashauri imepokea  kiasi cha shilingi mililioni 3000 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa majengo yaliyo kwenye umaliziaji pamoja na kuanza kwa jengo la huduma za mama na mtoto.

Aidha Dkt. Mwakungile  amebainisha kuwa halmashauri iliunga mkono juhudi za serikali kuu kwa kuchangia kiasi cha milioni 10 katika ujenzi wa majengo 6 ambayo yapo kwenye hatua za ukamilishaji ambapo kwenye bajeti ya mwaka wa fedha 2020/2021 halmashauri imetenga kiasi cha milioni 48.9 kwa ajili ya kuendeleza ujenzi wa hospitali hiyo.

Hospitali ya wilaya ya Rombo inarajiwa kuwa na majengo yasiyopungua 22  ambayo yatatumika kuhudumia wananchi zaidi laki mbili katika wilaya ya Rombo.






Matangazo

  • Kwa Huduma Bora ya Ukumbi wa kisasa wa Mikutano, Tafadhali fika Ofisini au wasiliana nasi kwa S.L. P 3070, Moshi. au Piga simu namba 027 2758248/027 2751 February 03, 2020
  • ZOEZI LA KUBORESHA TAARIFA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KUANZA MEI 16 HADI MEI 22 2025 KILIMANJARO May 15, 2025
  • MRADI WA BOOST April 01, 2023
  • Angalia Zote

Habari

  • VIJANA NA WANAWAKE MSIKOPE BILA MALENGO

    May 15, 2025
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewaongoza wananchi kumsindikiza aliyekuwa Makamu wa kwanza wa Rais na Waziri Mkuu mstaafu, Hayati Cleopa David Msuya katika safari yake ya mwisho.

    May 13, 2025
  • Mwili wa Hayati Cleopa D. Msuya waagwa katika viwanja vya CD Msuya wilayani Mwanga

    May 12, 2025
  • SERIKALI KUTENGA BILIONI 7 KUTEKELEZA UJENZI WA BARABARA YA MABOGINI - KAHE

    May 04, 2025
  • Angalia Zote

Video

Kujisajili kwenye mfumo wa NeST - Hatua ya Awali
Video

Kiunganishi cha Haraka

  • Webmail
  • Malalamiko
  • Watumishi Portal

Tovuti zinazohusiana nasi

  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi (LIVE)
  • Mfumo wa Usambazaji Mafaili kwa njia ya Ki-Eletroniki (E-Office)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na Kufuatilia malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    17 Barabara ya Florida

    Anuani ya Posta: P. O. Box 3070, Moshi

    Simu: +255 (027) 2754236/7

    Mobile:

    Anuani pepe: ras@kilimanjaro.go.tz / ras.kilimanjaro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakiimiliki©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro.Haki zote zimehifadhiwa