• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kilimanjaro Region
Kilimanjaro Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kilimanjaro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia ya Mkoa
    • Viongozi wa Mkoa
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Sekretariati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
      • Trade and Investment
      • Administration and Human Resource Department
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Teknologia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ukaguzi wa Ndani
    • Miongozo
  • Wilaya
    • Hai
    • Moshi
    • Mwanga
    • Same
    • Rombo
    • Siha
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hai
    • Halmashauri ya Wilaya ya Moshi
    • Halmashauri ya Manispaa ya Moshi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Same
    • Halmashauri ya Wilaya ya Siha
    • Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Albam
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

KIONGOZI WA MWENGE WA UHURU AMSISITIZA MKANDARASI KUKAMILISHA KWA WAKATI UJENZI WA DARAJA LA MANDAKA – UZUNGO, MWANGA

Posted on: July 2nd, 2025

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa kwa mwaka 2025, Ndg. Ismail Ussi  ametoa wito kwa mkandarasi anayetekeleza ujenzi wa daraja la Mandaka Uzungo lililopo wilayani Mwanga kuhakikisha kazi hiyo inakamilika kwa wakati kama ilivyopangwa ili kurejesha mawasiliano muhimu katika eneo hilo.

Ametoa wito huo leo Julai 1,2025 wakati wa kukagua  na kuweka jiwe la msingi katika mradi huo, Ndg. Ussi ameendelea kusema serikali ya Awamu ya Sita inatekeleza kwa vitendo dhamira yake ya kuwaletea wananchi maendeleo kupitia miradi mbalimbali ya kimkakati ikiwemo ujenzi wa madaraja, barabara na miundombinu mingine.

Ameeleza kuwa kukamilika kwa daraja hilo kutakuwa na manufaa makubwa kwa wakazi wa Mwanga kwa kuboresha usafiri na kuongeza fursa za kiuchumi kwa jamii inayozunguka eneo hilo.

Aidha, Ndg. Ussi amewasihi wananchi wa eneo hilo kutunza miundombinu hiyo kwa kuzuia vitendo vya uharibifu, akisisitiza kuwa serikali imekuwa ikitumia fedha nyingi katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo, hivyo ni wajibu wa kila mmoja kuilinda kwa maslahi ya wote.

Awali, akisoma taarifa ya mradi huo, Mhandisi anayesimamia ujenzi M/S EIMA GENERAL CAMPANY Ltd na kusimamiwa na TARURA wilaya ya Mwanga alieleza kuwa gharama za ujenzi wa daraja hilo ni zaidi ya shilingi milioni 319, huku pia kukijengwa barabara ya kuingia katika eneo hilo yenye urefu wa kilomita 1.2.

Mradi huo unatajwa kuwa mkombozi mkubwa kwa wananchi wa Mwanga, kwani mbali na kurahisisha mawasiliano, pia utafungua fursa mpya za biashara na kuinua uchumi wa eneo hilo.

Matangazo

  • Kwa Huduma Bora ya Ukumbi wa kisasa wa Mikutano, Tafadhali fika Ofisini au wasiliana nasi kwa S.L. P 3070, Moshi. au Piga simu namba 027 2758248/027 2751 February 03, 2020
  • ZOEZI LA KUBORESHA TAARIFA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KUANZA MEI 16 HADI MEI 22 2025 KILIMANJARO May 15, 2025
  • MRADI WA BOOST April 01, 2023
  • Angalia Zote

Habari

  • SERIKALI KUBORESHWA HUDUMA ZA AFYA ROMBO

    July 02, 2025
  • IDADI YA VIFO VYA AJALI YA MOTO SAME YAFIKIA 42

    July 02, 2025
  • VIJANA WILAYANI ROMBO WAMEHIMIZWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI

    July 02, 2025
  • MIUNDOMBINU YA ELIMU YAZIDI KUIMARIKA KWA WANANCHI WA KWAKTAU, ROMBO.

    July 02, 2025
  • Angalia Zote

Video

Kujisajili kwenye mfumo wa NeST - Hatua ya Awali
Video

Kiunganishi cha Haraka

  • Webmail
  • Malalamiko
  • Watumishi Portal

Tovuti zinazohusiana nasi

  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi (LIVE)
  • Mfumo wa Usambazaji Mafaili kwa njia ya Ki-Eletroniki (E-Office)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na Kufuatilia malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    17 Barabara ya Florida

    Anuani ya Posta: P. O. Box 3070, Moshi

    Simu: +255 (027) 2754236/7

    Mobile:

    Anuani pepe: ras@kilimanjaro.go.tz / ras.kilimanjaro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakiimiliki©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro.Haki zote zimehifadhiwa