• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kilimanjaro Region
Kilimanjaro Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kilimanjaro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia ya Mkoa
    • Viongozi wa Mkoa
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Sekretariati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
      • Trade and Investment
      • Administration and Human Resource Department
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Teknologia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ukaguzi wa Ndani
    • Miongozo
  • Wilaya
    • Hai
    • Moshi
    • Mwanga
    • Same
    • Rombo
    • Siha
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hai
    • Halmashauri ya Wilaya ya Moshi
    • Halmashauri ya Manispaa ya Moshi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Same
    • Halmashauri ya Wilaya ya Siha
    • Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Albam
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

MADAS Watakiwa Kuwawezesha Maafisa Tarafa

Posted on: May 19th, 2020

Makatibu Tawala wa Wilaya katika mkoa wa Kilimanjaro wametakiwa kuwapa ushirikiano maafisa tarafa ili kuwawezesha kutekeleza majukumu yao ya kila siku.

Akizungumza baada ya kugawa pikipiki 12 zilizoletwa na serikali kwa ajili ya kuwawezesha Maafisa Taraf ,Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Dkt. Anna Mghwira amesema pikipiki hizo zimeletwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kama utekelezaji wa ahadi yake kwa maafisa tarafa ilipokutana nao Ikulu jijini dar es Salaam.

Mhe. Dkt. Anna Mghwira amefafanua kuwa  lengo la  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kutekeleza ahadi ya kuwapa pikipiki maafisa tarafa hao ni kuwarahisishia watumishi hao wa umma utendaji wao kila siku.

Mhe.Dkt. Mghwira amesisistiza kuwa ni lazima kila Katibu Tawala wa Wilaya ahakikishe pikipiki hizo zinakuwa na mafuta ya kuwatosheleza kwenda vijini kuwatumikia wananchi  kwani miongoni mwa njia za kumpima mtumishi kiutendaji  ni pamoja na kuzingatia uwezeshwaji anaopatiwa na msimamizi wake wa kazi.

Aidha Mhe. Dkt. mghwira amesema ni mategemeo yake kuwa atakapofanya ziara katika wilaya zote Maafisa Tarafa watashiriki ipasavyo na ni mategeeo yake ni kuwa na maafisa tarafa wenye ufahamu na uelewa wa kutosha juu ya kero,changamoto na fursa za wananchi wanaowahudumia kwani kwa sasa kila Afisa Tarafa ameshawezeshwa kuwafikia wananchi.

Kuhusu matumizi sahihi ya pikipiki hizo Mhe. Mkuu wa Mkoa amesema si ruhusa kwa Maafisa Tarafa kuzitumia pikipiki hizo kwa shughuli ambazo si za umma ikiwa ni pamoja na kubebea abiria kama bodaboda.

Mkoa wa Kilimajnaro  wenye tarafa 30  ulikuwa na upungufu wa pikipiki 10  na kubahatika kupata nyongeza pikipiki 12 na kufanya kuwa na ziada ya pikipiki 2 ambazo zitapangiwa majukumu mengine.



Matangazo

  • Kwa Huduma Bora ya Ukumbi wa kisasa wa Mikutano, Tafadhali fika Ofisini au wasiliana nasi kwa S.L. P 3070, Moshi. au Piga simu namba 027 2758248/027 2751 February 03, 2020
  • ZOEZI LA KUBORESHA TAARIFA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KUANZA MEI 16 HADI MEI 22 2025 KILIMANJARO May 15, 2025
  • MRADI WA BOOST April 01, 2023
  • Angalia Zote

Habari

  • VIJANA NA WANAWAKE MSIKOPE BILA MALENGO

    May 15, 2025
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewaongoza wananchi kumsindikiza aliyekuwa Makamu wa kwanza wa Rais na Waziri Mkuu mstaafu, Hayati Cleopa David Msuya katika safari yake ya mwisho.

    May 13, 2025
  • Mwili wa Hayati Cleopa D. Msuya waagwa katika viwanja vya CD Msuya wilayani Mwanga

    May 12, 2025
  • SERIKALI KUTENGA BILIONI 7 KUTEKELEZA UJENZI WA BARABARA YA MABOGINI - KAHE

    May 04, 2025
  • Angalia Zote

Video

Kujisajili kwenye mfumo wa NeST - Hatua ya Awali
Video

Kiunganishi cha Haraka

  • Webmail
  • Malalamiko
  • Watumishi Portal

Tovuti zinazohusiana nasi

  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi (LIVE)
  • Mfumo wa Usambazaji Mafaili kwa njia ya Ki-Eletroniki (E-Office)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na Kufuatilia malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    17 Barabara ya Florida

    Anuani ya Posta: P. O. Box 3070, Moshi

    Simu: +255 (027) 2754236/7

    Mobile:

    Anuani pepe: ras@kilimanjaro.go.tz / ras.kilimanjaro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakiimiliki©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro.Haki zote zimehifadhiwa