• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kilimanjaro Region
Kilimanjaro Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kilimanjaro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia ya Mkoa
    • Viongozi wa Mkoa
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Sekretariati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
      • Trade and Investment
      • Administration and Human Resource Department
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Teknologia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ukaguzi wa Ndani
    • Miongozo
  • Wilaya
    • Hai
    • Moshi
    • Mwanga
    • Same
    • Rombo
    • Siha
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hai
    • Halmashauri ya Wilaya ya Moshi
    • Halmashauri ya Manispaa ya Moshi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Same
    • Halmashauri ya Wilaya ya Siha
    • Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Albam
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

MAFUNZO YA KUJIOKOA YAZUA TAAHARUKI OFISI YA RC KILIMANJARO

Posted on: August 30th, 2018

Taharuki ilitanda katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kilimajnaro na maeneo ya jirani asubuhi ya leo wakati Kikosi cha zimamoto na uokoaji  kilpofanya majaribio ya uelewa wa watu katika kujinusuru na majanga kama ya moto pindi yanapotokea katika majengo yao au mahala pa kazi.

Watumishi wa serikali pamoja na wateja mbalimbali walikuwa ndani na ofisi ya mkuu wa Mkoa na maeneo jirani walionekana kutawanyika huku na kule ili kujinusuru na hatari ambayo ingeweza kuwapata baada ya kusikia  king'ora cha kuashiria majanga kiliposikaka katika jengo hilo.

Akiongea na waandishi wa habari katika eneo hilo Mkuu wa Wilaya ya Moshi Mhe. Kippi Warioba amesema zoezi hilo lilikuwa ni kupima utayari wa watumishi  katika kukabiliana na majanga hususan moto.

Mhe. Warioba amesema pamoja na mambo mengine wananchi wamepimwa uelewa wao juu ya kufuata maelekezo ya wataalam  wa ukoaji ikiwemo kuelekea maeneo salama yaani assemby points.

Naye Muwakilishi ya Kamanda wa Kikosi cha Zimamoto na Uokoaji mkoa wa Kilimanjaro Mkaguzi Msaidizi Abdulwahab Mtazigwa amesema zoezi hilo ni la kawaida la kupima utayari wa wananchi katika kuitikia miito ya moto.

Aidha ameongeza kuwa wametekeleza zoezi hilo  kwa maelekezo ya Mkuu wa Wilaya ya Moshi Mhe. Kippi Warioba ili kupima matokeo ya elimu ya kujiokoa na majanga ya moto ambayo ilishatolewa kwa  watumishi wa ofisi hiyo kwa njia ya nadharia hapo awali.



Matangazo

  • Kwa Huduma Bora ya Ukumbi wa kisasa wa Mikutano, Tafadhali fika Ofisini au wasiliana nasi kwa S.L. P 3070, Moshi. au Piga simu namba 027 2758248/027 2751 February 03, 2020
  • Angalia Zote

Habari

  • MWENGE WA UHURU MKOANI KILIMANJARO

    June 06, 2022
  • MWENGE WA UHURU MKOANI KILIMANJARO

    June 06, 2022
  • UZINDUZI WA WIKI YA MAJI

    March 16, 2022
  • TAASISI LINDENI MAENEO YENU

    February 23, 2022
  • Angalia Zote

Video

Tamasha la Upimaji VVU Mkoa wa Kilimanjaro
Video

Kiunganishi cha Haraka

  • Webmail
  • Malalamiko
  • Fomu ya Opras

Tovuti zinazohusiana nasi

  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi (LIVE)
  • Manispaa ya Moshi
  • Mfumo wa Usambazaji Mafaili kwa njia ya Ki-Eletroniki (E-Office)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Florida Street

    Anuani ya Posta: P. O. Box 3070, Moshi

    Simu: 027 2758248/027 2751

    Mobile:

    Anuani pepe: ras@kilimanjaro.go.tz/ras.kilimanjaro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakiimiliki©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro.Haki zote zimehifadhiwa