• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kilimanjaro Region
Kilimanjaro Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kilimanjaro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia ya Mkoa
    • Viongozi wa Mkoa
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Sekretariati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
      • Trade and Investment
      • Administration and Human Resource Department
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Teknologia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ukaguzi wa Ndani
    • Miongozo
  • Wilaya
    • Hai
    • Moshi
    • Mwanga
    • Same
    • Rombo
    • Siha
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hai
    • Halmashauri ya Wilaya ya Moshi
    • Halmashauri ya Manispaa ya Moshi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Same
    • Halmashauri ya Wilaya ya Siha
    • Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Albam
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

MATUKIO 13 KWENYE FIMBO NYEUPE MKOANI KILIMANJARO.

Posted on: August 13th, 2024

MATUKIO 13 YATAKAYO FANYIKA KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA FIMBO NYEUPE DUNIANI MKOANI KILIMANJARO

Maandalizi ya maadhimisho ya yanayotarajiwa kufanyika Mkoani Kilimanjaro tarehe 21-25 Octoba,yameanza rasmi Agosti 13,2024 katika kikao cha kwanza cha maandalizi kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Nurdin Babu amewataka wajumbe wote wa kikao pamoja na wadau waliyopo Mkoani Kilimanjaro kushiriki vema katika maandalizi ya maadhimisho ya siku ya Fimbo Nyeupe Dunia lengo ni kufanikisha tukio hilo kikamilifu linaloratibiwa na chama cha watu wasioona Tanzania (TLB).

Kwa upande wake Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro Bw. Kiseo Yusuph Nzowa amebainisha matukio muhimu 13 yatakayofanyika katika maadhimisho hayo ni pamoja na kupandisha fimbo nyeupe kwenye Mlima wa Kilimanjaro, kutembelea kaburi la Hayati Reginald Mengi,maonyesho mbalimbali kwa watu wasioona ,upimaji wa macho na magojwa sugu pia uchangiaji damu, maonyesho ya teknolojia kwa wasioona, maonyesho ya matumizi ya komputa ,maandamano kwa wasioona, matumizi ya simu janja kwa wasioona,ugawaji wa miti kwa wanachama wasioona,usajili wa wanachama wapya kwa wasioona,ugawaji wa Fimbo Nyeupe kwa wasioona na kuendesha midahalo.

Naye, Kaimu Katibu wa Chama Cha Wasioona Bw. Loata Mollel amesema Chama Cha watu wasioona ni Chama cha kiraia ambacho  kimeanzishwa mwaka1964 kikasajiliwa na Wizara ya mambo ya ndani mwaka1972 ambacho kimefikisha miaka 60 huku jukumu kubwa ya chama hiki ni kutetea Watu wasioona pia kuchochea upatikanaji wa huduma muhimu Kwa watu watu hao.

Matangazo

  • Kwa Huduma Bora ya Ukumbi wa kisasa wa Mikutano, Tafadhali fika Ofisini au wasiliana nasi kwa S.L. P 3070, Moshi. au Piga simu namba 027 2758248/027 2751 February 03, 2020
  • ZOEZI LA KUBORESHA TAARIFA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KUANZA MEI 16 HADI MEI 22 2025 KILIMANJARO May 15, 2025
  • MRADI WA BOOST April 01, 2023
  • Angalia Zote

Habari

  • VIJANA NA WANAWAKE MSIKOPE BILA MALENGO

    May 15, 2025
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewaongoza wananchi kumsindikiza aliyekuwa Makamu wa kwanza wa Rais na Waziri Mkuu mstaafu, Hayati Cleopa David Msuya katika safari yake ya mwisho.

    May 13, 2025
  • Mwili wa Hayati Cleopa D. Msuya waagwa katika viwanja vya CD Msuya wilayani Mwanga

    May 12, 2025
  • SERIKALI KUTENGA BILIONI 7 KUTEKELEZA UJENZI WA BARABARA YA MABOGINI - KAHE

    May 04, 2025
  • Angalia Zote

Video

Kujisajili kwenye mfumo wa NeST - Hatua ya Awali
Video

Kiunganishi cha Haraka

  • Webmail
  • Malalamiko
  • Watumishi Portal

Tovuti zinazohusiana nasi

  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi (LIVE)
  • Mfumo wa Usambazaji Mafaili kwa njia ya Ki-Eletroniki (E-Office)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na Kufuatilia malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    17 Barabara ya Florida

    Anuani ya Posta: P. O. Box 3070, Moshi

    Simu: +255 (027) 2754236/7

    Mobile:

    Anuani pepe: ras@kilimanjaro.go.tz / ras.kilimanjaro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakiimiliki©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro.Haki zote zimehifadhiwa