• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kilimanjaro Region
Kilimanjaro Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kilimanjaro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia ya Mkoa
    • Viongozi wa Mkoa
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Sekretariati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
      • Trade and Investment
      • Administration and Human Resource Department
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Teknologia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ukaguzi wa Ndani
    • Miongozo
  • Wilaya
    • Hai
    • Moshi
    • Mwanga
    • Same
    • Rombo
    • Siha
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hai
    • Halmashauri ya Wilaya ya Moshi
    • Halmashauri ya Manispaa ya Moshi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Same
    • Halmashauri ya Wilaya ya Siha
    • Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Albam
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

Mkuu wa Mkoa Aipongeza TANAPA Kwa Kuwa Kimbilio la Wahitaji

Posted on: February 10th, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Dkt. Anna Mghwira amelipongeza Shirika la Hifadhi za Taifa, TANAPA kwa kuwa wepesi wa kupokea maombi ya watu na mamlaka mbalimbali na kuyafanyia kazi na hatimaye kufanya utekelezaji unaotoa matokeo chanya.

Akiongea wakati wa kupokea mradi wa nyumba ya walimu wa shule ya msingi Malimeni kata ya Vunjo Magharibi wilayani  Moshi, Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Mhe.Dkt. Anna Mghwira amesema TANAPA kupitia hifadhi ya taifa ya mli ma Kilimanjaro, KINAPA imepokea na kufanyia kazi changamoto ya nyumba za walimu katika mkoa wa Kilimanjaro na kufanya maamuzi yatakayopelekea kusukuma mbele maendeleo ya elimu katika mkoa wa Kilimanjaro.

Kwa mujubu wa Kamishna Mwanadamizi wa TANAPA Kanda ya Kaskazini, Herrman Batiho mradi wa nyumba ya walimu wa shule ya msingi Malimeni umegharimu jumla shilingi za kitanzania milioni 120.6 na kuwataka wananchi kufuata sheria zinazolinda hifadhi ili vitendo vya uchonaji koto, ujangili, uchungaji wa mifugo visifanyike ndani ya hifadhi ili hifadhi iwe endelevu kwa maslahi ya umma.

Kuhusu utunzji wa Mazingira Mhe. Dkt. Anna Mhgwira amesema KINAPA  ni mfano wa kuigwa kwani sanamu ya mlima waliyoijenga katika makutano ya barabara kuu inayoelekeaa mkoani Arusha na Mtaa wa Florida  haitawavutia watalii tu kupanda mlima Kilimanjaro bali itaongeza ubora wa mandhali ya Manispaa ya Moshi.

TANAPA kupitia hiafadhi ya taifa ya mlima Kilimanjaro KINAPA imejenga sanamu ya mlima Kilimanjaro katika manispa ya moshi yenye maelezo muhimu kuhusiana na historia, njia za kupandia mlima na taarifa muhimu kuhusiana na  hifadhi hiyo.






Matangazo

  • Kwa Huduma Bora ya Ukumbi wa kisasa wa Mikutano, Tafadhali fika Ofisini au wasiliana nasi kwa S.L. P 3070, Moshi. au Piga simu namba 027 2758248/027 2751 February 03, 2020
  • ZOEZI LA KUBORESHA TAARIFA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KUANZA MEI 16 HADI MEI 22 2025 KILIMANJARO May 15, 2025
  • MRADI WA BOOST April 01, 2023
  • Angalia Zote

Habari

  • VIJANA NA WANAWAKE MSIKOPE BILA MALENGO

    May 15, 2025
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewaongoza wananchi kumsindikiza aliyekuwa Makamu wa kwanza wa Rais na Waziri Mkuu mstaafu, Hayati Cleopa David Msuya katika safari yake ya mwisho.

    May 13, 2025
  • Mwili wa Hayati Cleopa D. Msuya waagwa katika viwanja vya CD Msuya wilayani Mwanga

    May 12, 2025
  • SERIKALI KUTENGA BILIONI 7 KUTEKELEZA UJENZI WA BARABARA YA MABOGINI - KAHE

    May 04, 2025
  • Angalia Zote

Video

Kujisajili kwenye mfumo wa NeST - Hatua ya Awali
Video

Kiunganishi cha Haraka

  • Webmail
  • Malalamiko
  • Watumishi Portal

Tovuti zinazohusiana nasi

  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi (LIVE)
  • Mfumo wa Usambazaji Mafaili kwa njia ya Ki-Eletroniki (E-Office)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na Kufuatilia malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    17 Barabara ya Florida

    Anuani ya Posta: P. O. Box 3070, Moshi

    Simu: +255 (027) 2754236/7

    Mobile:

    Anuani pepe: ras@kilimanjaro.go.tz / ras.kilimanjaro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakiimiliki©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro.Haki zote zimehifadhiwa