• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kilimanjaro Region
Kilimanjaro Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kilimanjaro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia ya Mkoa
    • Viongozi wa Mkoa
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Sekretariati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
      • Trade and Investment
      • Administration and Human Resource Department
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Teknologia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ukaguzi wa Ndani
    • Miongozo
  • Wilaya
    • Hai
    • Moshi
    • Mwanga
    • Same
    • Rombo
    • Siha
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hai
    • Halmashauri ya Wilaya ya Moshi
    • Halmashauri ya Manispaa ya Moshi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Same
    • Halmashauri ya Wilaya ya Siha
    • Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Albam
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO ATOA SIKU 14

Posted on: April 26th, 2025

MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO ATOA SIKU 14  KUKAMILISHA UJENZI WA MAABARA  SHULE YA SEKONDARI MKAMALA  WILAYANI HAI


Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Mhe. Nurdin Babu, ametoa siku 14 kwa mkandarasi anayetekeleza ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Mkamala iliyopo  Wilayani Hai kuhakikisha kazi hiyo inakamilika ifikapo Mei 15, 2025.


Mhe. Babu alitoa agizo hilo , Aprili 26, 2025, alipotembelea, kukagua na kuweka jiwe la msingi katika shule hiyo ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 61 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.


Kufuatia agizo hilo Babu amesikitishwa na ucheleweshaji wa ujenzi wa maabara licha ya serikali kutoa zaidi ya shilingi milioni 500 kuhakikisha shule hiyo inakamilika kwa wakati ili kupunguza adha ya wanafunzi wa Kata ya Masama Rundugai waliokuwa wakilazimika kutembea umbali mrefu kufuata elimu.


Awali, Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai, Bw. Michael Mumbuli, alieleza kuwa tayari yamekamilika majengo mawili ya madarasa yenye ofisi, jengo la utawala, maktaba, jengo la TEHAMA, matundu ya vyoo kwa wavulana na wasichana, kichomea taka, pamoja na ujenzi wa maabara ya kemia na baiolojia ambayo bado haijakamilika, sambamba na maabara ya fizikia.


Kwa upande wake, Diwani wa Kata ya Masama Rundugai, Mhe. Waziri Simbano, amemshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuleta fedha za miradi ya maendeleo inayosogeza huduma muhimu kwa wananchi wa eneo hilo.


Wakazi wa kata hiyo, akiwemo Bi. Jesca Peter, wameelezea kufarijika kwa mradi huo, wakikiri kuwa watoto wao walikumbwa na changamoto ya kutembea umbali mrefu kutafuta shule

Matangazo

  • Kwa Huduma Bora ya Ukumbi wa kisasa wa Mikutano, Tafadhali fika Ofisini au wasiliana nasi kwa S.L. P 3070, Moshi. au Piga simu namba 027 2758248/027 2751 February 03, 2020
  • MRADI WA BOOST April 01, 2023
  • Angalia Zote

Habari

  • SERIKALI KUTENGA BILIONI 7 KUTEKELEZA UJENZI WA BARABARA YA MABOGINI - KAHE

    May 04, 2025
  • RC KILIMANJARO ATAKA WATUMISHI WA UMMA KUTII SHERIA NA KANUNI ZA KAZI ILI KUONGEZA KAZINI

    May 01, 2025
  • Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro, Bw. Kiseo Nzowa, akihutubia wananchi na viongozi mbalimbali katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani.

    May 01, 2025
  • MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO ATOA SIKU 14

    April 26, 2025
  • Angalia Zote

Video

Kujisajili kwenye mfumo wa NeST - Hatua ya Awali
Video

Kiunganishi cha Haraka

  • Webmail
  • Malalamiko
  • Watumishi Portal

Tovuti zinazohusiana nasi

  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi (LIVE)
  • Mfumo wa Usambazaji Mafaili kwa njia ya Ki-Eletroniki (E-Office)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na Kufuatilia malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    17 Barabara ya Florida

    Anuani ya Posta: P. O. Box 3070, Moshi

    Simu: +255 (027) 2754236/7

    Mobile:

    Anuani pepe: ras@kilimanjaro.go.tz / ras.kilimanjaro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakiimiliki©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro.Haki zote zimehifadhiwa