• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kilimanjaro Region
Kilimanjaro Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kilimanjaro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia ya Mkoa
    • Viongozi wa Mkoa
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Sekretariati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
      • Trade and Investment
      • Administration and Human Resource Department
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Teknologia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ukaguzi wa Ndani
    • Miongozo
  • Wilaya
    • Hai
    • Moshi
    • Mwanga
    • Same
    • Rombo
    • Siha
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hai
    • Halmashauri ya Wilaya ya Moshi
    • Halmashauri ya Manispaa ya Moshi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Same
    • Halmashauri ya Wilaya ya Siha
    • Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Albam
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

MWENGE WA UHURU MKOANI KILIMANJARO

Posted on: June 6th, 2022

Mkoa wa Kilimanjaro umepokea Mwenge wa Uhuru kutoka Mkoani Tanga Juni, 6 katika Kijiji cha Bendera, Kata ya Bendera Wilayani Same.

Mwenge wa Uhuru ukiwa Mkoani Kilimanjaro unatarajia kutembelea, kufungua/kuzindua na kukagua jumla ya miradi 38 ya maendeleo ikiwa na thamani ya Tshs. 13,670,634,422.60 hadi kukamilika katika halmashauri zote saba za Mkoa.

Akipokea Mwenge wa Uhuru kutoka Mkoani Tanga, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Stephen Kagaigai amesema miradi itakayopitiwa na Mwenge wa Uhuru imegusa katika sekta mbalimbali ikiwemo Elimu itakua miradi  9, Afya miradi 10, kwa upande wa Maji na Utunzaji mazingira miradi itakuwa 6, katika sekta ya Barabara na pamoja na Madaraja miradi itakuwa  6, vijana miradi 5, na miradi mengineyo itakuwa 2.

Aidha, katika operesheni ya zoezi la Anuwani za makazi  kwa Mkoa wa Kilimanjaro hadi kufikia mwezi Mei, 2022 jumla ya anuwani 421,970 zimesajiliwa sawa na asilimia 100.45 ya lengo la kusajili anuwani 420,067.  Jumla ya barabara 13,205 zimetambuliwa na kupewa majina ikilinganishwa na malengo ya barabara 14,896 yaliyokuwa yamewekwa hapo awali.

Kwa upande wa zoezi la Sensa Mkoa umepokea jumla ya maombi ya watu 27,446 kwa ajili ya ajira ya Sensa kwa Makarani, wasimamizi wa maudhui na wasimamizi wa TEHAMA na hii ni kutokana na tangazo lililotolewa na Serikali la kuwasilishwa kwa maomib hayo mwezi 5,2022 na kumalizika 19,mei 2022.



Matangazo

  • Kwa Huduma Bora ya Ukumbi wa kisasa wa Mikutano, Tafadhali fika Ofisini au wasiliana nasi kwa S.L. P 3070, Moshi. au Piga simu namba 027 2758248/027 2751 February 03, 2020
  • Angalia Zote

Habari

  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU SENSA 2022

    August 22, 2022
  • MWENGE WA UHURU MKOANI KILIMANJARO

    June 06, 2022
  • MWENGE WA UHURU MKOANI KILIMANJARO

    June 06, 2022
  • UZINDUZI WA WIKI YA MAJI

    March 16, 2022
  • Angalia Zote

Video

Tamasha la Upimaji VVU Mkoa wa Kilimanjaro
Video

Kiunganishi cha Haraka

  • Webmail
  • Malalamiko
  • Fomu ya Opras

Tovuti zinazohusiana nasi

  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi (LIVE)
  • Manispaa ya Moshi
  • Mfumo wa Usambazaji Mafaili kwa njia ya Ki-Eletroniki (E-Office)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Florida Street

    Anuani ya Posta: P. O. Box 3070, Moshi

    Simu: 027 2758248/027 2751

    Mobile:

    Anuani pepe: ras@kilimanjaro.go.tz/ras.kilimanjaro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakiimiliki©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro.Haki zote zimehifadhiwa