• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kilimanjaro Region
Kilimanjaro Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kilimanjaro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia ya Mkoa
    • Viongozi wa Mkoa
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Sekretariati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
      • Trade and Investment
      • Administration and Human Resource Department
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Teknologia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ukaguzi wa Ndani
    • Miongozo
  • Wilaya
    • Hai
    • Moshi
    • Mwanga
    • Same
    • Rombo
    • Siha
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hai
    • Halmashauri ya Wilaya ya Moshi
    • Halmashauri ya Manispaa ya Moshi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Same
    • Halmashauri ya Wilaya ya Siha
    • Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Albam
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

Mwenge wa Uhuru mwaka 2025, umezindua ofisi ya kijiji cha Ngulu kilichopo kata ya Kwakoa Wilaya ya Mwanga

Posted on: July 1st, 2025

Mwenge  wa Uhuru mwaka 2025,  umezindua ofisi  ya kijiji cha Ngulu kilichopo kata ya Kwakoa Wilaya  ya Mwanga mkoani Kilimanjaro  ikiwa ni hatua za serikali za kuboresha mazingira ya watumishi katika utendaji kazi.

Akizungumza  wakati wa uzinduzi huo, julai 1  kiongozi wa mbio za Mwenge, Ismail Ali Ussi  amesema   serikali imedhamiria kuboresha mazingira ya watumishi ili wananchi waweze kupata  huduma kwa  haraka na kwa wakati.

Amesema Mwenge huo umepita kwa lengo  kuonyesha upendo  kwa wananchi, kurejesha matumaini na kuleta  imani   iliyokuwa imepotea.

"Tumekagua jengo hili la ofisi ya kijiji cha Ngulu, tumejiridhisha na nyaraka,  ubora  hakika jengo limejengwa  kwa viwango vinavyostahili na thamani ya pesa imeonekana. Natoa rai kwa viongozi kuwa ofisi hizi zitumike katika kuleta mabadiliko kwa wananchi kwa kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua , zitakazowashinda hakikisheni mnapeleka   kwa mkuu wa wilaya au mkoa, nilazima wananchi wapate majawabu ya matatizo yao,"

Aidha aliwataka watumishi watakaofanya kazi katika eneo hilo kufanya kazi kwa uwaminifu na kwa haraka ili kuwasaidia wananchi kujikita katika shughuli za  kiuchumi na kuleta maendeleo.

Akimkaribisha  kiongozi huyo, mkuu wa wilaya ya Mwanga Bi. Rukia alisema  wananchi hao wataweza kutatuliwa matatizo yao katika eneo hilo.

Alisema awali walikuwa na ofisi  ya kijiji isiyokidhi mahitaji jambo lililokuwa likiwakosesha  viongozi raha wakati wa utendaji kazi wao.

Akisoma taarifa ya mradi huo, Angela Kilawe  alisema jengo hilo liligenjwa  kwa gharama ya milioni  56

Matangazo

  • Kwa Huduma Bora ya Ukumbi wa kisasa wa Mikutano, Tafadhali fika Ofisini au wasiliana nasi kwa S.L. P 3070, Moshi. au Piga simu namba 027 2758248/027 2751 February 03, 2020
  • ZOEZI LA KUBORESHA TAARIFA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KUANZA MEI 16 HADI MEI 22 2025 KILIMANJARO May 15, 2025
  • MRADI WA BOOST April 01, 2023
  • Angalia Zote

Habari

  • MHE BABU AKIUKABIDHI MWENGE WA UHURU 2025 MKOANI ARUSHA

    July 05, 2025
  • UPANUZI WA SKIMU YA MAJI YA LAWATE (GARARAGUA - KIDICO) KUNUFAISHA WANANCHI ZAIDI YA 7,000 WILAYANI SIHA.

    July 03, 2025
  • SERIKALI KUBORESHWA HUDUMA ZA AFYA ROMBO

    July 02, 2025
  • IDADI YA VIFO VYA AJALI YA MOTO SAME YAFIKIA 42

    July 02, 2025
  • Angalia Zote

Video

Kujisajili kwenye mfumo wa NeST - Hatua ya Awali
Video

Kiunganishi cha Haraka

  • Webmail
  • Malalamiko
  • Watumishi Portal

Tovuti zinazohusiana nasi

  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi (LIVE)
  • Mfumo wa Usambazaji Mafaili kwa njia ya Ki-Eletroniki (E-Office)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na Kufuatilia malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    17 Barabara ya Florida

    Anuani ya Posta: P. O. Box 3070, Moshi

    Simu: +255 (027) 2754236/7

    Mobile:

    Anuani pepe: ras@kilimanjaro.go.tz / ras.kilimanjaro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakiimiliki©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro.Haki zote zimehifadhiwa