• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kilimanjaro Region
Kilimanjaro Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kilimanjaro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia ya Mkoa
    • Viongozi wa Mkoa
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Sekretariati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
      • Trade and Investment
      • Administration and Human Resource Department
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Teknologia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ukaguzi wa Ndani
    • Miongozo
  • Wilaya
    • Hai
    • Moshi
    • Mwanga
    • Same
    • Rombo
    • Siha
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hai
    • Halmashauri ya Wilaya ya Moshi
    • Halmashauri ya Manispaa ya Moshi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Same
    • Halmashauri ya Wilaya ya Siha
    • Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Albam
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

RC Ataka Elimu ya Kujitegemea

Posted on: January 15th, 2020

Wasimamizi na watoaji wa huduma ya  elimu mkoani Kilimanjaro wametakiwa  kutoa elimu ya maarifa itakayowasadia wanafunzi  kuwa na uwezo wa kufanya kazi za mikono.

Akiongea wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya kwa wakuu wa shule na maafisa elimu kata wilayani Moshi Mkuu wa Mkoa wa kilimanjaro Dkt. Anna Mghwira amewataka waalimu kuhakikisha kuwa elimu ya wanayoitoa kwa watoto isiwe ya darasani pekee bali watoe mafunzo ya vitendo ambayo yatahusu stadi za kazi.

Dkt. Mghwira amefafanua kuwa kumejengeka fikra hasi katika jamii kuwa kupinga ajira kwa watoto ni kutomfundisha mtoto kufanya kazi jambo ambalo amesema ni fikra potofu kabisa.  

Ameongeza kuwa mtoto anaweza kupewa kazi kwa mujibu wa umri wake kama sehemu ya malezi ili awe na fikra za kujitegemea katika maisha yake.

 Akitoa mfano wa shughuli za utunzaji wa mazingira Dkt. Mghwira amesema si makosa kumfundisha mtoto kupanda na kutunza miti ya matunda kwani faida ya kufanya hivyo ataiyona mapema akiwa shuleni kwa kunufaika kwa kivuli na matunda  na hatimaye  atakapomaliza masomo atakuwa ameshanufaika na elimu hiyo kwa vitendo.

Aidha Dkt. Mghwira ameongeza kuwa mawazo ya utoaji elimu ya kumjengea mtoto kuwa na fikra za kujitegemea yalianzishwa na Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ili kujenga taifa lenye watu wasio na fikra za utegemezi. " Wakati tulipokuwa watoto Mwalimu Nyerere alikuwa akituhimiza kuotesha chakula hata katika maeneo haya amboyo mnapanda mauau". Alifafanunua Dkt. Mghwira.

Awali  akitoa taarifa ya mafunzo hayo kwa mkuu wa mkoa Katibu Tawala Msaidizi anayesimimaea elimu katika mko wa Kilimanjaro, Paulina Mkwama  amesea kuwa mafunzo hayo yamehusisha washiriki  460 wakiwemo Maafisa elimu kata 168 na wakuuu wa  shule 338 katika mkoa wa KIlimanjaro.

Mwalimu Mkwama alifafanua kuwa wamegawa washiriki katia makundi matatu yatakayopata mafunzo katika vituo vya Hai, Moshi na Same.



Matangazo

  • Kwa Huduma Bora ya Ukumbi wa kisasa wa Mikutano, Tafadhali fika Ofisini au wasiliana nasi kwa S.L. P 3070, Moshi. au Piga simu namba 027 2758248/027 2751 February 03, 2020
  • ZOEZI LA KUBORESHA TAARIFA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KUANZA MEI 16 HADI MEI 22 2025 KILIMANJARO May 15, 2025
  • MRADI WA BOOST April 01, 2023
  • Angalia Zote

Habari

  • VIJANA NA WANAWAKE MSIKOPE BILA MALENGO

    May 15, 2025
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewaongoza wananchi kumsindikiza aliyekuwa Makamu wa kwanza wa Rais na Waziri Mkuu mstaafu, Hayati Cleopa David Msuya katika safari yake ya mwisho.

    May 13, 2025
  • Mwili wa Hayati Cleopa D. Msuya waagwa katika viwanja vya CD Msuya wilayani Mwanga

    May 12, 2025
  • SERIKALI KUTENGA BILIONI 7 KUTEKELEZA UJENZI WA BARABARA YA MABOGINI - KAHE

    May 04, 2025
  • Angalia Zote

Video

Kujisajili kwenye mfumo wa NeST - Hatua ya Awali
Video

Kiunganishi cha Haraka

  • Webmail
  • Malalamiko
  • Watumishi Portal

Tovuti zinazohusiana nasi

  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi (LIVE)
  • Mfumo wa Usambazaji Mafaili kwa njia ya Ki-Eletroniki (E-Office)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na Kufuatilia malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    17 Barabara ya Florida

    Anuani ya Posta: P. O. Box 3070, Moshi

    Simu: +255 (027) 2754236/7

    Mobile:

    Anuani pepe: ras@kilimanjaro.go.tz / ras.kilimanjaro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakiimiliki©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro.Haki zote zimehifadhiwa