• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kilimanjaro Region
Kilimanjaro Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kilimanjaro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia ya Mkoa
    • Viongozi wa Mkoa
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Sekretariati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
      • Trade and Investment
      • Administration and Human Resource Department
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Teknologia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ukaguzi wa Ndani
    • Miongozo
  • Wilaya
    • Hai
    • Moshi
    • Mwanga
    • Same
    • Rombo
    • Siha
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hai
    • Halmashauri ya Wilaya ya Moshi
    • Halmashauri ya Manispaa ya Moshi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Same
    • Halmashauri ya Wilaya ya Siha
    • Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Albam
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

RC Mghwira :Miundombinu Ikirekebishwa Hapatakuwa na Mafuriko

Posted on: June 3rd, 2020

Mkuu wa Mkoa wa KilimanjaroMhde. Dkt. Anna Mghwira amezitaka taasisi  za serikali zinazosimamia miundombinu ya barabara na maji ya mvua  kushirikiana ili kuhakikisha mafuriko yanayosababishwa na mapungufu ya miundombinu hayatokei tena na kudhuru wananchi.

Dkt. Mghwira  ameyasema hayo wakati  wa kutoa shukrani kwa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) ambayo imetoa jumla ya tani kumi za unga wa mahindi kwa ajili ya kuwasaidia waathirika wa mafuriko yaliyosababishwa na mvua za masika .

Mhe. Dkt. Mghwira amefafanua kuwa sehemu kubwa ya mafuriko yamesababishwa na mapungufu ya miundombinu iliyotakiwa kuelekeza maji ya mvua miton, mabwani na kwenye mifumo rasmi ya umwagiliaji, hivyo basi amesisitiza kuwepo kwa  mawasiliano ya karibu kati Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (TARURA), Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADs) na Taasisi ya Umwagiliaji ili kufanya kazi kwa kushirikiana na kuhakikisha tatizo halijirudii tena.

Awali akimkaribisha Mkuu wa Mkoa kutoa salamu za shukrani kwa TBL , Katibu Tawala wa Mkoa wa kilimanjaro Dkt. Khatib Kazungu amesema mifuko hiyo ya unga wa mahindi itagawiwa kwa halmashauri zilizopatwa na janga la mafuriko kwa kuzingatia ukubwa wa athari za mafuriko hayo kwa kila halmashauri.

Dkt. Kazunguzungu amewasilisha mchanganuo wa mgao huoa kuwa Halmashauri ya Wilaya ya   Mwanga ipata mifuko  67, Halmashauri ya wilaya ya Moshi itapata mifuko 55 ,  Manispaa ya Moshi itapata mifuko     29 na Halmashauri ya Wilaya ya  Same  itapata mifuko 250.




Matangazo

  • Kwa Huduma Bora ya Ukumbi wa kisasa wa Mikutano, Tafadhali fika Ofisini au wasiliana nasi kwa S.L. P 3070, Moshi. au Piga simu namba 027 2758248/027 2751 February 03, 2020
  • ZOEZI LA KUBORESHA TAARIFA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KUANZA MEI 16 HADI MEI 22 2025 KILIMANJARO May 15, 2025
  • MRADI WA BOOST April 01, 2023
  • Angalia Zote

Habari

  • KATIBU TAWALA MKOA WA KILIMANJARO ASISITIZA UTOAJI WA MIKOPO YA ASILIMIA 10 KWA VIKUNDI VYA WANANCHI WILAYANI HAI

    June 18, 2025
  • HALMASHAURI YA SIHA YAPONGEZWA KWA UKUSANYAJI BORA WA MAPATO

    June 17, 2025
  • BASATA YAWANOA MAAFISA UTAMADUNI NA BIASHARA KILIMANJARO

    May 22, 2025
  • VIJANA NA WANAWAKE MSIKOPE BILA MALENGO

    May 15, 2025
  • Angalia Zote

Video

Kujisajili kwenye mfumo wa NeST - Hatua ya Awali
Video

Kiunganishi cha Haraka

  • Webmail
  • Malalamiko
  • Watumishi Portal

Tovuti zinazohusiana nasi

  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi (LIVE)
  • Mfumo wa Usambazaji Mafaili kwa njia ya Ki-Eletroniki (E-Office)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na Kufuatilia malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    17 Barabara ya Florida

    Anuani ya Posta: P. O. Box 3070, Moshi

    Simu: +255 (027) 2754236/7

    Mobile:

    Anuani pepe: ras@kilimanjaro.go.tz / ras.kilimanjaro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakiimiliki©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro.Haki zote zimehifadhiwa