• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kilimanjaro Region
Kilimanjaro Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kilimanjaro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia ya Mkoa
    • Viongozi wa Mkoa
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Sekretariati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
      • Trade and Investment
      • Administration and Human Resource Department
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Teknologia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ukaguzi wa Ndani
    • Miongozo
  • Wilaya
    • Hai
    • Moshi
    • Mwanga
    • Same
    • Rombo
    • Siha
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hai
    • Halmashauri ya Wilaya ya Moshi
    • Halmashauri ya Manispaa ya Moshi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Same
    • Halmashauri ya Wilaya ya Siha
    • Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Albam
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

Utekelezaji TASAF Kilimanjo Wamfurahisha Kapt. Mkuchika

Posted on: August 29th, 2018

Waziri wa Nchi-Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Mhe. Kapt(Mst.) George H. Mkuchika amesma ameridhishwa na utendaji wa viongozi na watumishi waratibu wa Tasaf  mkoani Kilimanjaro katika kusimamia utekelezaji wa mpango wa kunusuru kaya masikini unaotekelezwa na mfuko wa maendeleo ya jamii Tasaf..

Mhe. Mkuchika amesema hayo alipokuwa akizungumza na wananchi na viongozi wa  mtaa wa Msaranga kata ya Msaranga Manispaa ya Moshi.

Waziri Mkuchika amesema amefanya ziara ya siku tatu katika mkoa wa Kilimanjaro kwa lengo la kujionea utekelezaji wa mpango huo ambao unasimamiwa na wizara yake na amejionea jinsi walengwa walivyonufaishwa na mpango huo na kuleta mabadiliko chanya katika maisha ya wanufaika hao.

Amefafanua kuwa lengo la mradi wa Tasaf awamu ya tatu ni kuwasaidia wananchi wenye hali duni za maisha ili waweze kupata mahitaji muhimu ambayo ni  chakula, mavazi na malazi lakini katika mkoa wa Kilimanjaro manufaa ya mradi huo yamenda mbali zaidi na kuwanufaisha walengwa katika nyanja zingine za maisha.

"Mimi nimefurahi sana Tasaf katika mkoa wa kilimanjaro imewezesha watoto wa walengwa kuhudhuria kiliniki, kuhudhuria shuleni wakiwa na mahitaji muhimu ikiwemo sare na viatu na familia zao kuwa na bima za afya." Amesema Waziri Mkuchika.

Aidha baadhi ya walengwa waliopata fursa ya kuzungumza na Mhe. Mkuchika wametoa shukrani zao kwa serikali kwa kuwajali na kutambua uwepo wao.

Kwa nyakati tofauti mlengwa hao wakiwemo Bibi Tedy Lyatuu na Bibi Jelenais Ngowi wamemuomba Mhe. Mkuchika awafikishie salamu zao za shukrani kwa Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.




Matangazo

  • Kwa Huduma Bora ya Ukumbi wa kisasa wa Mikutano, Tafadhali fika Ofisini au wasiliana nasi kwa S.L. P 3070, Moshi. au Piga simu namba 027 2758248/027 2751 February 03, 2020
  • ZOEZI LA KUBORESHA TAARIFA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KUANZA MEI 16 HADI MEI 22 2025 KILIMANJARO May 15, 2025
  • MRADI WA BOOST April 01, 2023
  • Angalia Zote

Habari

  • VIJANA NA WANAWAKE MSIKOPE BILA MALENGO

    May 15, 2025
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewaongoza wananchi kumsindikiza aliyekuwa Makamu wa kwanza wa Rais na Waziri Mkuu mstaafu, Hayati Cleopa David Msuya katika safari yake ya mwisho.

    May 13, 2025
  • Mwili wa Hayati Cleopa D. Msuya waagwa katika viwanja vya CD Msuya wilayani Mwanga

    May 12, 2025
  • SERIKALI KUTENGA BILIONI 7 KUTEKELEZA UJENZI WA BARABARA YA MABOGINI - KAHE

    May 04, 2025
  • Angalia Zote

Video

Kujisajili kwenye mfumo wa NeST - Hatua ya Awali
Video

Kiunganishi cha Haraka

  • Webmail
  • Malalamiko
  • Watumishi Portal

Tovuti zinazohusiana nasi

  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi (LIVE)
  • Mfumo wa Usambazaji Mafaili kwa njia ya Ki-Eletroniki (E-Office)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na Kufuatilia malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    17 Barabara ya Florida

    Anuani ya Posta: P. O. Box 3070, Moshi

    Simu: +255 (027) 2754236/7

    Mobile:

    Anuani pepe: ras@kilimanjaro.go.tz / ras.kilimanjaro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakiimiliki©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro.Haki zote zimehifadhiwa