• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kilimanjaro Region
Kilimanjaro Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kilimanjaro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia ya Mkoa
    • Viongozi wa Mkoa
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Sekretariati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
      • Trade and Investment
      • Administration and Human Resource Department
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Teknologia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ukaguzi wa Ndani
    • Miongozo
  • Wilaya
    • Hai
    • Moshi
    • Mwanga
    • Same
    • Rombo
    • Siha
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hai
    • Halmashauri ya Wilaya ya Moshi
    • Halmashauri ya Manispaa ya Moshi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Same
    • Halmashauri ya Wilaya ya Siha
    • Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Albam
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

VIJANA NA WANAWAKE MSIKOPE BILA MALENGO

Posted on: May 15th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Mheshimiwa Nurdin Babu, amewasihi Wananchi wa Mkoa  wa Kilimanjaro  kutumia vyema fursa za mikopo inayotolewa na Serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali, ili kufikia malengo yao ya kiuchumi na kijamii.

Mheshimiwa Babu ametoa wito huo leo, Mei 14, 2025, wakati wa semina ya kuwawezesha vijana na wanawake kunufaika na mikopo inayotolewa na Benki ya CRDB kupitia programu ya CRDB Foundation.

Amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imekuwa ikishirikiana na wadau mbalimbali ndani ya nchi katika kuhakikisha maisha ya wananchi, hususan wanawake, vijana, na watu wenye ulemavu, yanaboreshwa kupitia mikopo hiyo. Hata hivyo, ameonya kuwa mikopo hiyo haitaleta tija endapo itachukuliwa bila mipango madhubuti.

Aidha, ameitaka Benki ya CRDB kuendelea kutoa elimu na semina kama hiyo katika wilaya zote za Mkoa wa Kilimanjaro, zikiwemo Mwanga, Same, Rombo, Siha, na Hai, ili kuhakikisha walengwa wote wanapata uelewa wa namna bora ya kutumia mikopo hiyo kwa maendeleo yao.

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Mikopo kutoka Benki ya CRDB, Bw. Xavery Makwi, amesema kuwa hadi kufikia mwisho wa mwezi Machi mwaka huu, benki hiyo imefanikiwa kutoa mafunzo kwa zaidi ya wananchi milioni moja – wakiwemo vijana na wanawake – na mikopo yenye thamani ya shilingi bilioni 2.2 za Kitanzania.

Elimu hiyo ni sehemu ya juhudi za kutekeleza Dira ya Maendeleo ya Taifa kwa kipindi cha mwaka 2025 hadi 2030, ambayo inalenga kujenga uchumi imara unaotegemea rasilimali watu wenye ujuzi na maarifa.

Matangazo

  • Kwa Huduma Bora ya Ukumbi wa kisasa wa Mikutano, Tafadhali fika Ofisini au wasiliana nasi kwa S.L. P 3070, Moshi. au Piga simu namba 027 2758248/027 2751 February 03, 2020
  • ZOEZI LA KUBORESHA TAARIFA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KUANZA MEI 16 HADI MEI 22 2025 KILIMANJARO May 15, 2025
  • MRADI WA BOOST April 01, 2023
  • Angalia Zote

Habari

  • VIJANA NA WANAWAKE MSIKOPE BILA MALENGO

    May 15, 2025
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewaongoza wananchi kumsindikiza aliyekuwa Makamu wa kwanza wa Rais na Waziri Mkuu mstaafu, Hayati Cleopa David Msuya katika safari yake ya mwisho.

    May 13, 2025
  • Mwili wa Hayati Cleopa D. Msuya waagwa katika viwanja vya CD Msuya wilayani Mwanga

    May 12, 2025
  • SERIKALI KUTENGA BILIONI 7 KUTEKELEZA UJENZI WA BARABARA YA MABOGINI - KAHE

    May 04, 2025
  • Angalia Zote

Video

Kujisajili kwenye mfumo wa NeST - Hatua ya Awali
Video

Kiunganishi cha Haraka

  • Webmail
  • Malalamiko
  • Watumishi Portal

Tovuti zinazohusiana nasi

  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi (LIVE)
  • Mfumo wa Usambazaji Mafaili kwa njia ya Ki-Eletroniki (E-Office)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na Kufuatilia malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    17 Barabara ya Florida

    Anuani ya Posta: P. O. Box 3070, Moshi

    Simu: +255 (027) 2754236/7

    Mobile:

    Anuani pepe: ras@kilimanjaro.go.tz / ras.kilimanjaro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakiimiliki©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro.Haki zote zimehifadhiwa