• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kilimanjaro Region
Kilimanjaro Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kilimanjaro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia ya Mkoa
    • Viongozi wa Mkoa
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Sekretariati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
      • Trade and Investment
      • Administration and Human Resource Department
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Teknologia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ukaguzi wa Ndani
    • Miongozo
  • Wilaya
    • Hai
    • Moshi
    • Mwanga
    • Same
    • Rombo
    • Siha
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hai
    • Halmashauri ya Wilaya ya Moshi
    • Halmashauri ya Manispaa ya Moshi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Same
    • Halmashauri ya Wilaya ya Siha
    • Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Albam
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

WADAU WA TASNIA YA NGOZI WAPATIWA MAFUNZO YA KUBORESHA UZALISHAJI NA THAMANI YA ZAO LA NGOZI

Posted on: August 13th, 2025

Katibu Tawala Msaidizi wa Uchumi na Uzalishaji, Dkt. Emmanuel Lema, akiambatana na Mkurugenzi wa Uzalishaji na Maendeleo ya Masoko, Ndg. Stephen Michael, wameendesha mafunzo ya vitendo kwa wadau wa tasnia ya ngozi katika Kiwanda cha Kilimanjaro International Leather Industries.


Mafunzo hayo yalihusisha wadau mbalimbali wakiwemo wachunaji, wasindikaji, wasimamizi wa machinjio, na wafanyabiashara wa ngozi. Kupitia mafunzo hayo, washiriki walipata nafasi ya kuona kwa karibu hatua mbalimbali za uchakataji wa ngozi hadi kuwa bidhaa inayoweza kuuzwa ndani na nje ya nchi.

Akizungumza katika mafunzo hayo, Ndg. Stephen Michael aliwataka wadau kuhakikisha mnyororo mzima wa thamani ya zao la ngozi unaboresha kwa pamoja ili kuhakikisha viwanda havikosi malighafi za kutosha.

Kwa upande wake, Dkt. Lema aliishukuru Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa kuendelea kutekeleza mkakati wa kuboresha zao la ngozi mkoani Kilimanjaro. Pia aliahidi kusimamia utekelezaji wa maazimio yaliyofikiwa ili kuongeza tija na ushindani wa zao hilo katika soko la ndani na la kimataifa.

Matangazo

  • Kwa Huduma Bora ya Ukumbi wa kisasa wa Mikutano, Tafadhali fika Ofisini au wasiliana nasi kwa S.L. P 3070, Moshi. au Piga simu namba 027 2758248/027 2751 February 03, 2020
  • ZOEZI LA KUBORESHA TAARIFA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KUANZA MEI 16 HADI MEI 22 2025 KILIMANJARO May 15, 2025
  • MRADI WA BOOST April 01, 2023
  • Angalia Zote

Habari

  • WADAU WA TASNIA YA NGOZI WAPATIWA MAFUNZO YA KUBORESHA UZALISHAJI NA THAMANI YA ZAO LA NGOZI

    August 13, 2025
  • KILIMANJARO YAPIGA HATUA KATIKA LISHE

    August 13, 2025
  • Jamii Yafaidi Maboresho ya Miundombinu: RC Babu Atoa Wito wa Utunzaji

    August 07, 2025
  • KISHINDO CHA MWENGE WA UHURU 2025

    July 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Kujisajili kwenye mfumo wa NeST - Hatua ya Awali
Video

Kiunganishi cha Haraka

  • Webmail
  • Malalamiko
  • Watumishi Portal

Tovuti zinazohusiana nasi

  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi (LIVE)
  • Mfumo wa Usambazaji Mafaili kwa njia ya Ki-Eletroniki (E-Office)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na Kufuatilia malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    17 Barabara ya Florida

    Anuani ya Posta: P. O. Box 3070, Moshi

    Simu: +255 (027) 2754236/7

    Mobile:

    Anuani pepe: ras@kilimanjaro.go.tz / ras.kilimanjaro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakiimiliki©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro.Haki zote zimehifadhiwa