• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kilimanjaro Region
Kilimanjaro Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kilimanjaro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia ya Mkoa
    • Viongozi wa Mkoa
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Sekretariati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
      • Trade and Investment
      • Administration and Human Resource Department
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Teknologia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ukaguzi wa Ndani
    • Miongozo
  • Wilaya
    • Hai
    • Moshi
    • Mwanga
    • Same
    • Rombo
    • Siha
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hai
    • Halmashauri ya Wilaya ya Moshi
    • Halmashauri ya Manispaa ya Moshi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Same
    • Halmashauri ya Wilaya ya Siha
    • Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Albam
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

Watakiwa Kuongeza Thamani Mazao

Posted on: November 29th, 2019

Wataalam  wa kilimo  wilayani hai wametakiwa kuwafundisha wananchi kuongeza thamani ya mazao  ili kuwawezesha kuuuza mazo kwa bei zitakazowaletea faida.

Akizungumza na wananchi wa kijiji cha  Mijongweni kata ya Mnadani wilayani Hai mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Dkt. Anna Mghwira amesema wananchi wanahitaji kupewa mafunzo ya kufungasha mazao ya kilimo ili iwe rahisi kufikisha sokoni na kuuza kwa bei zitakazowanufaisha.

Aidha Mhe. Mkuu wa Mkoa amewaeleza wananchi kuwa wanapouza mazao ghafi ambayo hayajaongezwa thamani yanakuwa kwenye hatari ya kuoza kabla hajafika sokoni na hatimaye mkulima anapata hasara.

Mhe Mghira amebainisha kuwa wakulima   wanapopeleka mazao nje ya nchi kabla ya kuyaongezea thamani, wanapeleka  bidhaa zaidi ya moja katika zao moja na fursa za ajira nje ya nchi.

Akitolea mfano uuzaji wa mazao ya mpunga , mhe. dkt. Mghwira amesema wananchi watanufaika zaidi endapo watakoboa mpunga na kuuza mchele ambao utawawezesha kuuza kwa bei nzuri na kutumia pumba zitakazobaki  kama chakula cha mifugo.

Kuhusu maendeleo ya uvuvi, Mhe. Dkt. Mghwira amewataka wataalam wa halmashauri kuwafundisha wakulima njia za kisasa za ufugaji wa samaki ili wananchi hao waweze kujikomboa kiuchumi.

Mhe. Dkt. Mghwira ameongeza kuwa endapo wananchi hususan vijana watapewa elimu ya ufugaji wa samaki itawasadia kupata ajira na hatimaye kuipunguzia serikali kazi ya kupambana na uvuvi haram katika bwawa la nyumbayamungu.



Matangazo

  • Kwa Huduma Bora ya Ukumbi wa kisasa wa Mikutano, Tafadhali fika Ofisini au wasiliana nasi kwa S.L. P 3070, Moshi. au Piga simu namba 027 2758248/027 2751 February 03, 2020
  • ZOEZI LA KUBORESHA TAARIFA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KUANZA MEI 16 HADI MEI 22 2025 KILIMANJARO May 15, 2025
  • MRADI WA BOOST April 01, 2023
  • Angalia Zote

Habari

  • VIJANA NA WANAWAKE MSIKOPE BILA MALENGO

    May 15, 2025
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewaongoza wananchi kumsindikiza aliyekuwa Makamu wa kwanza wa Rais na Waziri Mkuu mstaafu, Hayati Cleopa David Msuya katika safari yake ya mwisho.

    May 13, 2025
  • Mwili wa Hayati Cleopa D. Msuya waagwa katika viwanja vya CD Msuya wilayani Mwanga

    May 12, 2025
  • SERIKALI KUTENGA BILIONI 7 KUTEKELEZA UJENZI WA BARABARA YA MABOGINI - KAHE

    May 04, 2025
  • Angalia Zote

Video

Kujisajili kwenye mfumo wa NeST - Hatua ya Awali
Video

Kiunganishi cha Haraka

  • Webmail
  • Malalamiko
  • Watumishi Portal

Tovuti zinazohusiana nasi

  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi (LIVE)
  • Mfumo wa Usambazaji Mafaili kwa njia ya Ki-Eletroniki (E-Office)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na Kufuatilia malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    17 Barabara ya Florida

    Anuani ya Posta: P. O. Box 3070, Moshi

    Simu: +255 (027) 2754236/7

    Mobile:

    Anuani pepe: ras@kilimanjaro.go.tz / ras.kilimanjaro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakiimiliki©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro.Haki zote zimehifadhiwa