• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kilimanjaro Region
Kilimanjaro Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kilimanjaro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia ya Mkoa
    • Viongozi wa Mkoa
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Sekretariati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
      • Trade and Investment
      • Administration and Human Resource Department
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Teknologia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ukaguzi wa Ndani
    • Miongozo
  • Wilaya
    • Hai
    • Moshi
    • Mwanga
    • Same
    • Rombo
    • Siha
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hai
    • Halmashauri ya Wilaya ya Moshi
    • Halmashauri ya Manispaa ya Moshi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Same
    • Halmashauri ya Wilaya ya Siha
    • Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Albam
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

Viongozi Watakiwa Kusimamia Kilimo cha Kisasa

Posted on: March 5th, 2021

Viongozi katika ngazi zote mkoani Kilimanjaro watakiwa kushirikana katika kusimamia kikamilifu matumizi sahihi ya pembejeo za ruzuku inayotolewa na serikali ili ilete tija kwa wakulima na wananchi wote kwa ujumla.


Maelekezo hayo yametolewa na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Dkt. Anna Mghwira katika kikao cha kamati ya ushauri ya maendeleo ya mkoa (RCC) kilichokutana tarehe 5 Machi 2021.


Mhe. Mghwira ameeleza kuwa katika msimu wa kilimo 2019/2020; mkoa wa kilimanjaro uzalisha chakula tani 1,644,008 za mazao ya chakula na biashara katika ardhi yenye ukubwa wa hekta 339,435 zilizolimwa kati ya malengo ya kuzalisha tani 1,702,160 katika hekta 353,546.

Ameongeza kuwa chakula halisi kilichozalishwa ni tani 619,426 za wanga na tani 76,165 za protini, wakati mahitaji yetu ya chakula kimkoa ni tani 453,670 za wanga na tani 45,367 za protini za mikunde.  



Mhe. Dkt. Mghwira amebainisha kuwa wakulima katika mkoa wa Kilimanjaro wanaendelea na maandalizi  msimu wa kilimo cha masika 2020/2021 ambao ndiyo msimu  mkubwa wa kilimo kwa mwaka.


Aidha Mhe. Mghwira ametoa rai kwa viongozi na watalaamu kusimamia na kuelekeza wananchi kufanya maandalizi ya mashamba kwa wakati na kuzingatia ushauri wa kitaalamu ikiwa ni pamoja ya matumizi sahihi ya pembejeo.  





Viongozi katika ngazi zote mkoani Kilimanjaro watakiwa kushirikana katika kusimamia kikamilifu matumizi sahihi ya pembejeo za ruzuku inayotolewa na serikali ili ilete tija kwa wakulima na wananchi wote kwa ujumla.

Maelekezo hayo yametolewa na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Dkt. Anna Mghwira katika kikao cha kamati ya ushauri ya maendeleo ya mkoa (RCC) kilichokutana tarehe 5 Machi 2021.

Mhe. Mghwira ameeleza kuwa katika msimu wa kilimo 2019/2020; mkoa wa kilimanjaro uzalisha chakula tani 1,644,008 za mazao ya chakula na biashara katika ardhi yenye ukubwa wa hekta 339,435 zilizolimwa kati ya malengo ya kuzalisha tani 1,702,160 katika hekta 353,546.
Ameongeza kuwa chakula halisi kilichozalishwa ni tani 619,426 za wanga na tani 76,165 za protini, wakati mahitaji yetu ya chakula kimkoa ni tani 453,670 za wanga na tani 45,367 za protini za mikunde.  


Mhe. Dkt. Mghwira amebainisha kuwa wakulima katika mkoa wa Kilimanjaro wanaendelea na maandalizi  msimu wa kilimo cha masika 2020/2021 ambao ndiyo msimu  mkubwa wa kilimo kwa mwaka.

Aidha Mhe. Mghwira ametoa rai kwa viongozi na watalaamu kusimamia na kuelekeza wananchi kufanya maandalizi ya mashamba kwa wakati na kuzingatia ushauri wa kitaalamu ikiwa ni pamoja ya matumizi sahihi ya pembejeo.  













Matangazo

  • Kwa Huduma Bora ya Ukumbi wa kisasa wa Mikutano, Tafadhali fika Ofisini au wasiliana nasi kwa S.L. P 3070, Moshi. au Piga simu namba 027 2758248/027 2751 February 03, 2020
  • ZOEZI LA KUBORESHA TAARIFA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KUANZA MEI 16 HADI MEI 22 2025 KILIMANJARO May 15, 2025
  • MRADI WA BOOST April 01, 2023
  • Angalia Zote

Habari

  • VIJANA NA WANAWAKE MSIKOPE BILA MALENGO

    May 15, 2025
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewaongoza wananchi kumsindikiza aliyekuwa Makamu wa kwanza wa Rais na Waziri Mkuu mstaafu, Hayati Cleopa David Msuya katika safari yake ya mwisho.

    May 13, 2025
  • Mwili wa Hayati Cleopa D. Msuya waagwa katika viwanja vya CD Msuya wilayani Mwanga

    May 12, 2025
  • SERIKALI KUTENGA BILIONI 7 KUTEKELEZA UJENZI WA BARABARA YA MABOGINI - KAHE

    May 04, 2025
  • Angalia Zote

Video

Kujisajili kwenye mfumo wa NeST - Hatua ya Awali
Video

Kiunganishi cha Haraka

  • Webmail
  • Malalamiko
  • Watumishi Portal

Tovuti zinazohusiana nasi

  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi (LIVE)
  • Mfumo wa Usambazaji Mafaili kwa njia ya Ki-Eletroniki (E-Office)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na Kufuatilia malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    17 Barabara ya Florida

    Anuani ya Posta: P. O. Box 3070, Moshi

    Simu: +255 (027) 2754236/7

    Mobile:

    Anuani pepe: ras@kilimanjaro.go.tz / ras.kilimanjaro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakiimiliki©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro.Haki zote zimehifadhiwa