• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kilimanjaro Region
Kilimanjaro Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kilimanjaro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia ya Mkoa
    • Viongozi wa Mkoa
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Sekretariati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
      • Trade and Investment
      • Administration and Human Resource Department
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Teknologia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ukaguzi wa Ndani
    • Miongozo
  • Wilaya
    • Hai
    • Moshi
    • Mwanga
    • Same
    • Rombo
    • Siha
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hai
    • Halmashauri ya Wilaya ya Moshi
    • Halmashauri ya Manispaa ya Moshi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Same
    • Halmashauri ya Wilaya ya Siha
    • Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Albam
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII YAFUATILIA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI KILIMANJARO.

Posted on: August 21st, 2025

Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum kupitia Idara ya Mashirika Yasiyo ya Kiserikali, kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, imefanya ufuatiliaji wa mashirika yasiyo ya kiserikali yanayotekeleza miradi mbalimbali katika Mkoa wa Kilimanjaro.

Mashirika yaliyotembelewa ni pamoja na TAWREF na KIVUCE yanayotekeleza shughuli zake katika Halmashauri ya Manispaa ya Moshi, YEPAO na Courage World Wide yanayotekeleza miradi ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi, huku wilayani Hai ni  VOEWOFO na Kilimanjaro New Vission Sober House pamoja na DSW & HRNS inayopatikana wilayani Siha.

Akizungumza kuhusu lengo la ufuatiliaji huo, Wakili kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Bi. Tatu Ally, alisema kuwa hatua hiyo inalenga,

Kusaidia Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGOs) yanayotekeleza afua kwa makundi yaliyo hatarini, hususan wasichana balehe na wanawake vijana, kuhakikisha yanazingatia Sheria, Kanuni na Miongozo ya uratibu wa NGOs nchini.

 Pamoja na Kubaini changamoto na mapungufu katika utekelezaji wa miradi ili kutoa ushauri na kutafuta suluhisho sahihi na Kufuatilia matokeo ya miradi ili kuhakikisha afua zinazotekelezwa zina manufaa kwa jamii na kubaini maeneo yanayohitaji maboresho.

Vile vile Kuyajengea uwezo mashirika hayo kupitia mafunzo ya Mfumo wa Uratibu wa NGOs (NIS), Mwongozo wa Uratibu pamoja na Mkakati wa Taifa wa Uendelevu wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NSNS) 2022/2023 – 2026/2027.

Aidha,Ufuatiliaji huu ni sehemu ya jitihada za Serikali kuhakikisha mashirika yasiyo ya kiserikali yanaendelea kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi, uwazi na kwa manufaa ya jamii hususan makundi yaliyo katika mazingira hatarishi.

Matangazo

  • Kwa Huduma Bora ya Ukumbi wa kisasa wa Mikutano, Tafadhali fika Ofisini au wasiliana nasi kwa S.L. P 3070, Moshi. au Piga simu namba 027 2758248/027 2751 February 03, 2020
  • ZOEZI LA KUBORESHA TAARIFA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KUANZA MEI 16 HADI MEI 22 2025 KILIMANJARO May 15, 2025
  • MRADI WA BOOST April 01, 2023
  • Angalia Zote

Habari

  • RC ATOA SIKU 14 MGOGORO WA WAKULIMA NA WAFUGAJI KIJIJI CHA RUVU MARWA SAME

    August 21, 2025
  • WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII YAFUATILIA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI KILIMANJARO.

    August 21, 2025
  • WADAU WA TASNIA YA NGOZI WAPATIWA MAFUNZO YA KUBORESHA UZALISHAJI NA THAMANI YA ZAO LA NGOZI

    August 13, 2025
  • KILIMANJARO YAPIGA HATUA KATIKA LISHE

    August 13, 2025
  • Angalia Zote

Video

Kujisajili kwenye mfumo wa NeST - Hatua ya Awali
Video

Kiunganishi cha Haraka

  • Webmail
  • Malalamiko
  • Watumishi Portal

Tovuti zinazohusiana nasi

  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi (LIVE)
  • Mfumo wa Usambazaji Mafaili kwa njia ya Ki-Eletroniki (E-Office)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na Kufuatilia malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    17 Barabara ya Florida

    Anuani ya Posta: P. O. Box 3070, Moshi

    Simu: +255 (027) 2754236/7

    Mobile:

    Anuani pepe: ras@kilimanjaro.go.tz / ras.kilimanjaro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakiimiliki©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro.Haki zote zimehifadhiwa