• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kilimanjaro Region
Kilimanjaro Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kilimanjaro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia ya Mkoa
    • Viongozi wa Mkoa
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Sekretariati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
      • Trade and Investment
      • Administration and Human Resource Department
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Teknologia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ukaguzi wa Ndani
    • Miongozo
  • Wilaya
    • Hai
    • Moshi
    • Mwanga
    • Same
    • Rombo
    • Siha
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hai
    • Halmashauri ya Wilaya ya Moshi
    • Halmashauri ya Manispaa ya Moshi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Same
    • Halmashauri ya Wilaya ya Siha
    • Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Albam
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

ZAHANATI YA KIVISINI MWANGA

Posted on: April 7th, 2024

Mwenge wa Uhuru umeweka jiwe la Msingi katika Zahanati ya Kivisini Kwanyange Wilayani Mwanga na kutoa maelekezo kwa Uongozi wa Halmashauri.

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Ndg. Godfrey Mnzava amemuelekeza Mkurugenzi wa Halmashauri  ya Wilaya ya Mwanga Bi. Zahara Msangi kuhakikisha ifikapo Mei 20, 2024 Zahanati ya Kivisini iwe imekamilika na kuanza kutoa huduma kwa wananchi.

Mnzava ameyasema hayo leo Aprili 7, 2024 baada ya kukagua mradi huo unaoendelea na ujenzi wenye thamani ya Tshs. Milioni 90,635,407  kutoka vyanzo mbalimbali ikiwemo Halmashauri wamechangia kiasi cha Tshs. Milioni 38,135,407, mfuko wa jimbo Tshs. Milioni 1,600,000.00, Serikali kuu Tshs. 50,000,000.00 na nguvu za wananchi  Tshs. 900,000.00 hadi kukamilika mradi huu utagharimu Tshs. Milioni 164,101,200.00.

Akisoma taarifa ya mradi kwa Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Mganga Mkuu wa hospitali ya  wilaya Dkt. Serijo Kusekwa  amesema zahanati hii inaenda kuwa mkombozi kwa wananchi wa kijiji cha kwanyange na maeneo jiran wapatao 955 ambao walikua wakitembea umbali mrefu kufuata huduma za afya hasa za baba, mama na mtoto pamoja na ushauri nasaha.

Dkt. amesema mradi huu unatekekezwa kwa utaratubu wa “force account” na kazi zinazoendelea ni kuweka sakafu, kupaka rangi, kujenga kichomeataka, shimo la kondo la nyuma na kuweka madirisha pamoja na milango.

Naye Mariamu Rashid ambaye ni wananchi wa kata ya kwa mnyange amesema zahanat hiyo itawasaidia sana kupunguza vifo vya akina mama wajawazito waliokua wakipoteza maisha njian wakati wakwenda kujifungua pamoja na watoto wachanga. Aidha, ameishukuru serikali ya awamu sita kwa kuwajali wananchi wa kata hiyo kwa kosogeza huduma za afya na huduma nyinginezo karibu. Mwenge wa Uhuru umeweka jiwe la Msingi katika Zahanati ya Kivisini Kwanyange Wilayani Mwanga na kutoa maelekezo kwa Uongozi wa Halmashauri.

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Ndg. Godfrey Mnzava amemuelekeza Mkurugenzi wa Halmashauri  ya Wilaya ya Mwanga Bi. Zahara Msangi kuhakikisha ifikapo Mei 20, 2024 Zahanati ya Kivisini iwe imekamilika na kuanza kutoa huduma kwa wananchi.

Mnzava ameyasema hayo leo Aprili 7, 2024 baada ya kukagua mradi huo unaoendelea na ujenzi wenye thamani ya Tshs. Milioni 90,635,407  kutoka vyanzo mbalimbali ikiwemo Halmashauri wamechangia kiasi cha Tshs. Milioni 38,135,407, mfuko wa jimbo Tshs. Milioni 1,600,000.00, Serikali kuu Tshs. 50,000,000.00 na nguvu za wananchi  Tshs. 900,000.00 hadi kukamilika mradi huu utagharimu Tshs. Milioni 164,101,200.00.

Akisoma taarifa ya mradi kwa Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Mganga Mkuu wa hospitali ya  wilaya Dkt. Serijo Kusekwa  amesema zahanati hii inaenda kuwa mkombozi kwa wananchi wa kijiji cha kwanyange na maeneo jiran wapatao 955 ambao walikua wakitembea umbali mrefu kufuata huduma za afya hasa za baba, mama na mtoto pamoja na ushauri nasaha.

Dkt. amesema mradi huu unatekekezwa kwa utaratubu wa “force account” na kazi zinazoendelea ni kuweka sakafu, kupaka rangi, kujenga kichomeataka, shimo la kondo la nyuma na kuweka madirisha pamoja na milango.

Naye Mariamu Rashid ambaye ni wananchi wa kata ya kwa mnyange amesema zahanat hiyo itawasaidia sana kupunguza vifo vya akina mama wajawazito waliokua wakipoteza maisha njian wakati wakwenda kujifungua pamoja na watoto wachanga. Aidha, ameishukuru serikali ya awamu sita kwa kuwajali wananchi wa kata hiyo kwa kosogeza huduma za afya na huduma nyinginezo karibu.

Matangazo

  • Kwa Huduma Bora ya Ukumbi wa kisasa wa Mikutano, Tafadhali fika Ofisini au wasiliana nasi kwa S.L. P 3070, Moshi. au Piga simu namba 027 2758248/027 2751 February 03, 2020
  • ZOEZI LA KUBORESHA TAARIFA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KUANZA MEI 16 HADI MEI 22 2025 KILIMANJARO May 15, 2025
  • MRADI WA BOOST April 01, 2023
  • Angalia Zote

Habari

  • VIJANA NA WANAWAKE MSIKOPE BILA MALENGO

    May 15, 2025
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewaongoza wananchi kumsindikiza aliyekuwa Makamu wa kwanza wa Rais na Waziri Mkuu mstaafu, Hayati Cleopa David Msuya katika safari yake ya mwisho.

    May 13, 2025
  • Mwili wa Hayati Cleopa D. Msuya waagwa katika viwanja vya CD Msuya wilayani Mwanga

    May 12, 2025
  • SERIKALI KUTENGA BILIONI 7 KUTEKELEZA UJENZI WA BARABARA YA MABOGINI - KAHE

    May 04, 2025
  • Angalia Zote

Video

Kujisajili kwenye mfumo wa NeST - Hatua ya Awali
Video

Kiunganishi cha Haraka

  • Webmail
  • Malalamiko
  • Watumishi Portal

Tovuti zinazohusiana nasi

  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi (LIVE)
  • Mfumo wa Usambazaji Mafaili kwa njia ya Ki-Eletroniki (E-Office)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na Kufuatilia malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    17 Barabara ya Florida

    Anuani ya Posta: P. O. Box 3070, Moshi

    Simu: +255 (027) 2754236/7

    Mobile:

    Anuani pepe: ras@kilimanjaro.go.tz / ras.kilimanjaro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakiimiliki©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro.Haki zote zimehifadhiwa