Posted on: July 2nd, 2025
Idadi ya watu waliopoteza maisha katika ajali ya mabasi mawili kugongana na baadaye kushika moto wilayani Same, mkoani Kilimanjaro, imeongezeka na kufikia 42, kutoka 39 vilivyoripotiwa awali.
...
Posted on: July 2nd, 2025
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2025, Ndg. Ismail Ussi, ametoa wito kwa vijana wa Wilaya ya Rombo na maeneo mengine nchini kuchangamkia mikopo ya wanawake, vijana na watu wenye ulema...
Posted on: July 2nd, 2025
Serikali imeendelea kuboresha miundombinu ya shule za msingi nchini, ambapo shule ya msingi Kwaktau iliyopo katika Wilaya ya Rombo imepata neema ya ujenzi na ukarabati mkubwa wa miundombinu ya elimu.
...