Posted on: June 6th, 2021
Halmashauri ya wilaya Same mkoani Kilimanjaro imetakiwa kukamilisha ujenzi wa soko la kazndo ya barabara ili kuwaewzesha wananchi hususan wakulima na wafanyabiashara ndogondogo kunufaika na mradi huo....
Posted on: June 5th, 2021
Serikali mkoani Kilimanjaro kwa kushirikiana na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU imefankiwa kuokoa kiasi cha shilingi 266,551,507 katika kipindi kilichoanzia Januari hadi Mei 20...
Posted on: April 1st, 2021
Serikali mkoani Kilimanjaro imethibitisha kuwa mahindi yanayozalishwa nchini yana ubora na salama kwa watumiaji.
Akiongea na waandishi wa habari alipotembelea mpaka wa Holili unaunganis...